💯 na hali ya kukosa usingizi pia msongo wa mawazo.Wanga na vitu vyenye sukari nyingi vinazeesha
Pombe na soda zote ni carbs, hazina tofauti, wanywaji wa pombe na soda kwa wingi wana vitambiNi kweli soda zinazeesha
Ila pombe ni kinyume chake
pombe siyo bia tu.Pombe na soda zote ni carbs, hazina tofauti, wanywaji wa pombe na soda kwa wingi wana vitambi
Pombe karibia zote zinatokana na mazao ya nafaka (carbohydrates) pombe zinazotumia ngano, ndizi, mtama, mahindi, ulezi, n.k.pombe siyo bia tu.