Soda tunazokunywa majanga

Soda tunazokunywa majanga

Pole sana ndugu yangu. Kwa upande wangu mimi hapa kwa haraka haraka nimebaini jambo moja, ambalo ndilo la msingi zaidi. Kwa muonekano wa huyo muhudumu na hilo eneo ni zuri sana. Muhudumu yupo bomba sana, cheaper, Mrembo. Inaelekea hapo panafaa kutembelewa ili kupata moja moto moja baridi. Unaweza kutusaidia jina la hiyo bar na location ilipo?

Lol! mkuu huyo mhudumu unamuona yuko hot?? Kweli beauty ni just perception! kila mtu anapercieve tofauti
 
Isije ikawa hiyo fanta "wako" ya pembeni ndo unaitangaza ni chafu! Sijapata mantiki ya kuonyesha picha nzima ya muhudumu!
 
Lol! mkuu huyo muhudumu unamuona yuko hot?? Kwei beauty ni just perception! kila mtu anapercieve tofauti

kwel mkuu kuna mademu wazuri na wakawaida ila huyu hayupo hata upande mmoja ni mbayaaaaaa!
 
Pole sana ndugu yangu. Kwa upande wangu mimi hapa kwa haraka haraka nimebaini jambo moja, ambalo ndilo la msingi zaidi. Kwa muonekano wa huyo muhudumu na hilo eneo ni zuri sana. Muhudumu yupo bomba sana, cheaper, Mrembo. Inaelekea hapo panafaa kutembelewa ili kupata moja moto moja baridi. Unaweza kutusaidia jina la hiyo bar na location ilipo?

panaitwa Sarang'anya
 
ni kweli kabsa hawa watengenezaji wa vinywaji hawazingatii usafi, mimi nilishawahi kununua fanta nyeusi nikakuta kifuniko cha soda ndani nikamrudishia muuza duka akanipa nyingine coz nilikua hata sijaifungua bado.
 
Samahani kama ntakuuzi huyo dada kweli alijua kuwa unapiga picha soda nae anatokea katika picha na anajua kuwa umeweka hapa?

Back to the topic soda zina majanga mengi ukute vitu vilotengezewa ni hatar kwa afya kuliko huo uchafu....

Pole sana

Jamaa ana lake tu, angeweka picha ya soda tu ingekuwa sawa. Labda itakuwa ni soda ya mwisho mwisho hiyo.
 

Attachments

  • 1421323806226.jpg
    1421323806226.jpg
    46.2 KB · Views: 443
  • 1421323846942.jpg
    1421323846942.jpg
    44.7 KB · Views: 431
Soda tangu lini zikawa safi, acha huo uchafu ndani ya chupa, we chukua soda aiana ya COCA COLA ichemshe kwenye moto km dakika 30-45 then jipe majibu hayo masalia utagundua soda si chochote zaidi ya sumu.
 
Sio soda tu hapa kuna kila aina ya vyakula ni risk, chips zinapikwa mafuta ya kuzalisha umeme,kuku ni wa wik3, mchicha unatoka jangwani kwenye mto wa mikojo, colgate inaingizwa na chokaa ndani yake zaid ni zile kubwa ambazo ujazo wake uko mwingi. Nk ni mengi huwawezi kununua chakula chochote kinachouzwa pembezoni ya barabara tayari kimeshajaa vumbi unaweza ukapata tb.

Yaani nawakuta wengi wanatafuna nyama choma zile za ngombe ambazo zimekufa wanazouza kule mbagala. Na nyama hizi ukipita magomen pale mapipa kanisani wanazichoma kwenye kiza
 
Hata mimi nilikunywa soda ya coca nikakuta chini Kuna kisoda halafu kina kutu, ilikuwa usiku na niligundua wakati namalizia soda, kutapika nilishindwa kukataa kulipa haiwezekani kwa kuwa nilikuwa nimeisha maliza soda nikabaki najilaumu kwa kutokuwa makini.
 
Soda ina madhara kuliko hata huo uchafu ujitokezao kwa bahati mbaya...
 
Back
Top Bottom