Vi rendra
JF-Expert Member
- Sep 11, 2017
- 3,272
- 5,631
Soda ya 500 mkuu kwa mgeni aliekutembelea kila baada ya miezi mi3 haiharibu bajeti yoyote mkuu ..ukilinganisha na mgeni katoka alikotoka kuja kukusalimia katumia kachoma mafuta ya TSh ngapi!
Je ingekua wanakunywa Moet mkuu si ungehamia porini
Ukarimu unapendeza sana,Mgeni akija hata kama una stress kakope furaha kwa jirani akiondoka utairudisha
Je ingekua wanakunywa Moet mkuu si ungehamia porini

Ukarimu unapendeza sana,Mgeni akija hata kama una stress kakope furaha kwa jirani akiondoka utairudisha

