Soda na mgeni uswahilini

Soda na mgeni uswahilini

LUBEDE

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2013
Posts
4,322
Reaction score
6,694
Hivi kwanini sisi wa uswahilini tukitembelewa na mgeni lazima tuanze kuhangaika kumnunulia mgeni soda?
ni nani aliuanzisha huu utaratibu?kwani wageni nao huwaga hawawezi kunywa hata maji tu?
 
Huku kwetu tunampa hivii
IMG-20170712-WA0022.jpeg
 
Back
Top Bottom