Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,263
- 16,288
Pole kuna mwenzio
alipata condom ilotumika
alipata condom ilotumika
Soda sijainywa madhara sijapata madai mahakamani inabidi niifungue ninywe niende hospitali ya serikali dr athibitishe kuwa nimedhurika kutokana na soda hii then kesi mahakamani itasukuma kama miaka miwili hv maana ubishani utakuwa mwingi then fidia yake milioni kumi tu wakati huo nahesabu masaa ya kuishi!!!
Mimi siku hizi nimeacha kuagiza Sprite.. Ilikuwa ninakaribia kumaliza kuinywa,ndipo nikasense kitu cha kuteleza mdomoni,cha kuteleza mithili ya mayai mabichi,au makamasi...
Nilipoangalia kwa macho nikaona ni vitu vyeupe vinaelea... Nikamwaga hapohapo...
Acha kupiga kelele basi. Kama kitu kimetokea ni imani yangu sio nia ya mwenye kampuni. Kuripoti tukio panapohusika kutasaidia aliyesababisha uzembe huo awajibike na usirudiwe tena. Kukaa kimya na kuja kubwabwaja hapa ni kutafuta umaarufu na kuharibu biashara za watu. Au umetumwa na mpinzani wake?
Peleka hiyo chupa pale ubungo TBS au tuliza ball
Ndio maana mimi sinywi soda direct from chupa yaani labda mpaka na glass,coz hizo chupa hazioshwi vyema au hazioshwi kabisa,na ukizingatia hapo vinaingia vinywa vya watu tofautitofauti,wengine wanafungus midomoni,na wengine wanamatatizo kibao ya vinywa!!Soda hii nimeinunua jana kwa muuzaji wa jumla ilikuwamo katika kreti la soda ndani kuna kisoda ambacho inaonyesha kuwa mwywaji wa mwisho alikikunja na kukiweka ndani ya chupa na iliporudishwa kiwandani haikusafishwa kabla ya kujazwa soda nyingine hii ni hatari kumbe chupa hazioshwiiii maisha si salama tena cha kushangaza hadiinatoka kiwandani hakuna uhakiki wowote jamani ni hatariii!!tdfa mpoo na tbs mpooo!!!
Error zipop tu mama, hata kwenye noti ya Dollor huwa zinatokea! Sijui uoshaji wao uko vp, na uhakiki kabla ya kuruhusu chupa itumike ukoje; vyote kwa vyote error huwa zinatokea. Vp una mpango wa kuwawajibisha?
Searching...100%
Loading...100%
Network Connected !
Umaarufu ningekwenda kwny media (magazeti radio tv)live na siyo huku JF ambako hatujuani we punguani uliyetumwa na kampuni.
afadhali hii ni kisoda....kuna mdau mwingine alishalalamika pia
yakwake ilikuwa sprite na ndani ina condom (salama) ukitafuta
post za nyuma utaipata
Sasa unataka tukusaidiaje?
Siku ukigundua kuwa mumeo anatoka nje ya ndoa, utawashauri wanawake wenzio wote wawaache waume zao au utasolve matatizo yenu na mumeo. Shida ni kwamba, unaongea in terms of problems.
Ukienda Coca Cola utawasaidia wao kama wafanyabiashara kujua tatizo walilonalo, utawasaidia na wananchi wengine ambao hawatauona huu ujumbe wako hapa. Bidhaa ikirekebishwa ubora wake ndio kitu cha maana kitakuwa kimefanyika. Huu unaoleta hapa ni umbea tu wa kike
Sema usemayo, kama soda ni chafu ni chafu tu,
na tutayabandika tu hapa hapa jamvini.
Sema usemayo, kama soda ni chafu ni chafu tu,
na tutayabandika tu hapa hapa jamvini.
kwa kuwa leo nipo kwenye computer oneni vitu mnavyokunywa
View attachment 47260
View attachment 47261
View attachment 47261