Soda gani unaipenda kuliko zote

Soda gani unaipenda kuliko zote

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
24,814
Reaction score
60,685
Najua tupo ambao huwa hatuchaguagi soda zote sisi tunakunywa tukikuta pepsi fureshi, tukikuta mirinda barida,ukituchukulia coka haikatai,ukituleta Kwenye Sprite mzuka tu,sisi soda yoyote tunakunywa Tena tunakunywa kumaliza
Lakini najua iko moja ambayo ndio haswa chaguo lako yaani ukiipataa hio roho yako inaridhika kabisa.
tutajie soda pendwa moja tu ambayo flavour yake unaizimikia ewe mwana JF.
Nikianza na Mimi mwenyewe soda yangu ambayo siku nikitamani soda nikienda shola nainunua Ni hii inayoitwa spar letta
 
Wale wanaodaigi picha hii hapa
download.jpeg
 
Najua tupo ambao huwa hatuchaguagi soda zote sisi tunakunywa tukikuta pepsi fureshi, tukikuta mirinda barida,ukituchukulia coka haikatai,ukituleta Kwenye Sprite mzuka tu,sisi soda yoyote tunakunywa Tena tunakunywa kumaliza
Lakini najua iko moja ambayo ndio haswa chaguo lako yaani ukiipataa hio roho yako inaridhika kabisa.
tutajie soda pendwa moja tu ambayo flavour yake unaizimikia ewe mwana JF.
Nikianza na Mimi mwenyewe soda yangu ambayo siku nikitamani soda nikienda shola nainunua Ni hii inayoitwa spar letta
Kwa karne hii watu wanavyojali afya zao hayo mambo ya soda hayana nafasi.Itaharibu level yako ya sukari mwilini.Be careful!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyie si watoto wa juzijuzi kuanzia miaka ya 80?
80 mbali Sana sisi watoto wa 90.kwa hiyo hio ndo ilikuwa soda yenu wahenga?je kwa Sasa ambapo haipatikani unagonga coka ya kawaida au siku hizi mwendo wa lager TU?
 
Back
Top Bottom