Social medias are there to stay

Social medias are there to stay


8466b89431ce64d63a337693a9ae3e39.jpg
0e7cb209e0d893b64d4b16766fcd3f9e.jpg
ukikosa Guinness kuna mbadala wake
asante mkuu kwa hii option mbadala
 
As long as binadamu watakuwepo basi hata mitandao ya kijamii itakuwepo mimi naandika leo hapa wewe unaandika yule anaandika walishaandika wengine kitambo, Leo hawapo tena, nasi kuna siku tutatoweka lakini social media zitakuwepo as long as kuna watu watakuwepo
Ichukie ipende ikejeli ama isifu haitokaa ife, na hata Kama kuna baadhi itafungiwa ama kufishwa bado itaibuka mingine yenye maudhui yale yale

Social medias ni kama maji usipoyanywa utayapikia usipoyapikia uatogea usipoyaogea utayatumia kwa matumizi mengi tu, HUWEZI KUYAKWEPA MAJI HUWEZI KUIKWEPA MITANDAO HURU YA KIJAMII

ukiwa mweledi ukiwa na tafakuri ukiwa na dira ukiwa na mikakati bora, ukiwa na mgawanyo wa madaraka kwa usawa, ukihukumu kwa haki na kutenda kwa akili social medias ni kioo kizuri kwako kukuongoza kule utakakokenguka na sometimes hata kuteleza

Lakini ukiwa kiburi na kushupaza shingo, ukiwa katili na mkorofi, ukileta one man show na mambo yote yanayoichukiza jamiii.. My friend jiandae your days are numbered.....

Utachachuka mdomo na kukunja ndita mwisho utaishia kwenye anguko kuu huku ukiziacha social media zikipeta... Ukigombana na social medias umegombana na jamii umegombana na wapiga kura wako.... Kumbuka hakuna popote duniani mmoja alishinda wengi
Baaaabaeee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom