Inaweza ikawa wrong but it could still be right.Social medias are there to stay
Halafu tunamcheka DAB, ni kweli DAB alichemka kununua vyeti, lakini we've got a bunch of DABs in the country.
basi sawaSi wakuelewa huyu. Kama ni wakuelewa angeelewa na la Bashite.
Hata wakiwemo sioni faidaNajua vijana wake humu wako kibao hata kama yeye humu hayupo lakini ujumbe unamfikia
Hahahaaa [emoji3] [emoji3] [emoji3]wamechoka wamechoshwa na wamechokwaHata wakiwemo sioni faida
Tuvumilie mpaka 2020 muda wake uishe wananchi wafanye maamuzi yao, mpaka kwenye chama hawana hamu naye tena.Hahahaaa [emoji3] [emoji3] [emoji3]wamechoka wamechoshwa na wamechokwa
Sent from my INFINIX-X551 using JamiiForums mobile app
Kiongozi siyo mbali, toka 2005 nikiwa nimeanza kujitambua mpaka leo 2017 bado matukio ya 2005 nayakumbuka sana kipindi cha kampeni cha Kikwete (kasi mpya, ari mpya na nguvu mpya), tuombe uzima kwa Mungu wetu tufike salama 2020 ni karibu mno hasa kwake yeye, hakuna hata kiwanda kimoja mpaka leo miaka 2.Pengine huko ni mbali
Subuuuutu!
Inshallah aamenKiongozi siyo mbali, toka 2005 nikiwa nimeanza kujitambua mpaka leo 2017 bado matukio ya 2005 nayakumbuka sana kipindi cha kampeni cha Kikwete (kasi mpya, ari mpya na nguvu mpya), tuombe uzima kwa Mungu wetu tufike salama 2020 ni karibu mno hasa kwake yeye, hakuna hata kiwanda kimoja mpaka leo miaka 2.
Noted
Pengine huko ni mbali
[emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji817] [emoji817] [emoji817] [emoji115] [emoji111] [emoji111] [emoji111]Unapotafakari btn JF kuwa a new platform Ya mabadiriko inayopigwa vita na Mange kuwa a reliable source kwa waTz wengi hasa wasio na uwezo wa kufanya analysis .......Unaona uagize tu Guiness moja bariiid