hahahah mshana bana unanikumbusha vile viatu vilivokua vinaitwa MKUKI MOYONI sasa nimeshindwa kufananisha maana hili ni lakumoyo hahahahahahahahaAs long as binadamu watakuwepo basi hata mitandao ya kijamii itakuwepo mimi naandika leo hapa wewe unaandika yule anaandika walishaandika wengine kitambo, Leo hawapo tena, nasi kuna siku tutatoweka lakini social media zitakuwepo as long as kuna watu watakuwepo
Ichukie ipende ikejeli ama isifu haitokaa ife, na hata Kama kuna baadhi itafungiwa ama kufishwa bado itaibuka mingine yenye maudhui yale yale
Social medias ni kama maji usipoyanywa utayapikia usipoyapikia uatogea usipoyaogea utayatumia kwa matumizi mengi tu, HUWEZI KUYAKWEPA MAJI HUWEZI KUIKWEPA MITANDAO HURU YA KIJAMII
ukiwa mweledi ukiwa na tafakuri ukiwa na dira ukiwa na mikakati bora, ukiwa na mgawanyo wa madaraka kwa usawa, ukihukumu kwa haki na kutenda kwa akili social medias ni kioo kizuri kwako kukuongoza kule utakakokenguka na sometimes hata kuteleza
Lakini ukiwa kiburi na kushupaza shingo, ukiwa katili na mkorofi, ukileta one man show na mambo yote yanayoichukiza jamiii.. My friend jiandae your days are numbered.....
Utachachuka mdomo na kukunja ndita mwisho utaishia kwenye anguko juu huku ukiziacha social media zikipeta... Ukigombana na social medias umegombana na jamii umegombana na wapiga kura wako.... Kumbuka hakuna popote duniani mmoja alishinda wengi
Namsifu huyu cartoonist anaitwa Masoud Kipanya. His creativity is awesome. Kwakweli anaitendea haki taaluma yake.
Kweli kabisa mkuuasipoelewa tena basi
Najua vijana wake humu wako kibao hata kama yeye humu hayupo lakini ujumbe unamfikiaAnatakiwa ajiulize kwanini mitandao hii hii Nov-2015 - January 2016 ilikuwa inamsifia?
Huu ujumbe nakanusha sio wa kweli muwe makini na mitandao ushahidi huu hapa
Nachoamini mimi hakuna aliyepigana na muda akashinda,As long as binadamu watakuwepo basi hata mitandao ya kijamii itakuwepo mimi naandika leo hapa wewe unaandika yule anaandika walishaandika wengine kitambo, Leo hawapo tena, nasi kuna siku tutatoweka lakini social media zitakuwepo as long as kuna watu watakuwepo
Ichukie ipende ikejeli ama isifu haitokaa ife, na hata Kama kuna baadhi itafungiwa ama kufishwa bado itaibuka mingine yenye maudhui yale yale
Social medias ni kama maji usipoyanywa utayapikia usipoyapikia uatogea usipoyaogea utayatumia kwa matumizi mengi tu, HUWEZI KUYAKWEPA MAJI HUWEZI KUIKWEPA MITANDAO HURU YA KIJAMII
ukiwa mweledi ukiwa na tafakuri ukiwa na dira ukiwa na mikakati bora, ukiwa na mgawanyo wa madaraka kwa usawa, ukihukumu kwa haki na kutenda kwa akili social medias ni kioo kizuri kwako kukuongoza kule utakakokenguka na sometimes hata kuteleza
Lakini ukiwa kiburi na kushupaza shingo, ukiwa katili na mkorofi, ukileta one man show na mambo yote yanayoichukiza jamiii.. My friend jiandae your days are numbered.....
Utachachuka mdomo na kukunja ndita mwisho utaishia kwenye anguko juu huku ukiziacha social media zikipeta... Ukigombana na social medias umegombana na jamii umegombana na wapiga kura wako.... Kumbuka hakuna popote duniani mmoja alishinda wengi
Umeongea kwel kabisa braza mshanaAs long as binadamu watakuwepo basi hata mitandao ya kijamii itakuwepo mimi naandika leo hapa wewe unaandika yule anaandika walishaandika wengine kitambo, Leo hawapo tena, nasi kuna siku tutatoweka lakini social media zitakuwepo as long as kuna watu watakuwepo
Ichukie ipende ikejeli ama isifu haitokaa ife, na hata Kama kuna baadhi itafungiwa ama kufishwa bado itaibuka mingine yenye maudhui yale yale
Social medias ni kama maji usipoyanywa utayapikia usipoyapikia uatogea usipoyaogea utayatumia kwa matumizi mengi tu, HUWEZI KUYAKWEPA MAJI HUWEZI KUIKWEPA MITANDAO HURU YA KIJAMII
ukiwa mweledi ukiwa na tafakuri ukiwa na dira ukiwa na mikakati bora, ukiwa na mgawanyo wa madaraka kwa usawa, ukihukumu kwa haki na kutenda kwa akili social medias ni kioo kizuri kwako kukuongoza kule utakakokenguka na sometimes hata kuteleza
Lakini ukiwa kiburi na kushupaza shingo, ukiwa katili na mkorofi, ukileta one man show na mambo yote yanayoichukiza jamiii.. My friend jiandae your days are numbered.....
Utachachuka mdomo na kukunja ndita mwisho utaishia kwenye anguko juu huku ukiziacha social media zikipeta... Ukigombana na social medias umegombana na jamii umegombana na wapiga kura wako.... Kumbuka hakuna popote duniani mmoja alishinda wengi
Id yako ya kila siku umeipumzishaujumbe umfikie coz ajifanya oooh vijipost vyenu kwenye mitandao,cjui udaku ili hali ni mdau mzr wa hiyo mitandao,asituchoshe Tanzania ni zaidi ya vitisho vyake ubabe peleka usukumani huko
Si wakuelewa huyu. Kama ni wakuelewa angeelewa na la Bashite.asipoelewa tena basi