Soccer Gallery Collection

Sammy Kuffour

Huyu ni beki jamaa alikipiga pale bayern munich takriban miaka 12 ,hatosahau kipigo cha Man U kwenye champions league mwaka 1999 lakin alifuta machozi miaka miwili mbele kwa kumchapa Valencia.

Kombe la duniani la 2006 alikipiga na timu yake ya Taifa ya Ghana.
 
Michael Essien

Huyu jamaa kwenye team yake ya Taifa majeraha yalimtesa sana hakushiriki kivile.

Kipenzi cha Mourinho pale darajani akijiunga 2005 na akafanikiwa kunyoosha makwapa amenyanyua champions league mara moja.

Ni kati wa viungo bora sana waliowah tokea baran Africa.
 
Jay-Jay Okocha

Mzee wa kuuchezea mpira ukimuita Ronaldinho wa Africa wala hujakosea alikuwa wa moto sana jamaa alikuwa na kipaji cha kuzaliwa yule maana ni shida.

Amechukua mchezaj bora wa Africa mara mbili Peke mwenyewe anamuelewa sana hadi akamtaja kuwa mchezaj wake bora kati ya wale 125.

Jamaa anajua boli
 
Pierluigi Collina

Marefa wetu wa bongo inabidi waende kumuona huyu jamaa akawape maujuzi alikuwa anakitendea haki sana kipyenga pale kati.

Huyu ni refa bora wa muda wote hadi sasa ni mtaliano huyu jamaa , FIFA walimpaga tuzo ya refa bora mara 6 mfululizo sio kitu chepesi lakin jamaa aliweza chukua mfululizo.View attachment 2112538
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…