Soccer Gallery Collection

Lampard alimfanyia unyama saana didier, kuna game ya mwisho ya ligi kipindi drogba na Rooney wanagombea kiatu cha dhahabu, ikatokea penati Lampard akamnyima drogba akapiga yeye, wakat mwenzie anasaka goli kuchukua kiatu cha dhahabu, walipotoka mapumziko mwanaume akaweka 3 pekee yake kambani.. Huyu ndio tembo, sio tembo harmonize. [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…