and 998 others
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 28,224
- 39,704
Kumekuwepo la ongezeko kubwa la matumizi na athari za dawa za kulevya nchini, hasa mijini, hivyo watu kwa utashi wao wameamua kuanzisha
"Sober House". Lakini watu kadhaa waliowahi kwenda huko, matokeo yao hurudia hali kutumia madawa kwa kasi ya ajabu.
1. Nini hasa hufanyika humo ndani?
2. Sifa za kitaaluma (Saikolojia/ushauri nasaha, kitabibu/udaktari za wanaohudumia hizi nyumba)
3. Nini malengo makuu ya muanzilishi wa hizi nyumba? Nani hufuatilia? wanawajibika kwa nani?
USHAURI;
i. Zisajiliwe kisheria (kwa kufuata vigezo vya miundo mbinu & Taaluma pia Wizara/manispaa ifuatilie kwa karibu sana.
ii. Zisaidie pale amabapo kuna mapungufu kwani kwa kiasi fulani zinasaidia vijana walioathirika na madawa ikiwemo UKIMWI.
"Sober House". Lakini watu kadhaa waliowahi kwenda huko, matokeo yao hurudia hali kutumia madawa kwa kasi ya ajabu.
1. Nini hasa hufanyika humo ndani?
2. Sifa za kitaaluma (Saikolojia/ushauri nasaha, kitabibu/udaktari za wanaohudumia hizi nyumba)
3. Nini malengo makuu ya muanzilishi wa hizi nyumba? Nani hufuatilia? wanawajibika kwa nani?
USHAURI;
i. Zisajiliwe kisheria (kwa kufuata vigezo vya miundo mbinu & Taaluma pia Wizara/manispaa ifuatilie kwa karibu sana.
ii. Zisaidie pale amabapo kuna mapungufu kwani kwa kiasi fulani zinasaidia vijana walioathirika na madawa ikiwemo UKIMWI.