Hii ukimwandikia Penny money, Madame B, Demiss. Hapo hapo wanasema yesNaam nitaweza mama nakuahidi kukupenda kwa dhati ya moyo wangu mpaka siku pumzi itakapousaliti mwili wangu, Warembo ni wengi ila kwangu mama ni wa kipekee uzuri wako ni wa kipekee na hakika mungu hakukosea kukuumba ulivyo chonde chonde mama usijibadili kwani nimekupenda jinsi ulivyo na nimeridhika nawe, Wewe kwangu ni zawadi ya pekee niliyopewa na mungu na niahidi nitakutunza na kukulinda siku zote za maisha yangu, nakuomba uisadiki kweli hii na unipokee moyoni mwako laazizi.
Hii ukimwandikia Penny money, Madame B, Demiss. Hapo hapo wanasema yes
Jf wekeni filter ya umri please
Demiss, miss natafuta, miss chagga, Penny money, Madame B, Mrs vann, na wengine wengi. tafadhalini njooni muone sms za Kimahaba kutoka kwa kamweneLaiti kama mapenzi yangu kwako yangekuwa yanapimika hakika yangeshinda uzito wa mchanga wa dunia nzima,nimekuweka katika chumba cha moyo wangu nikafunga na kufuli kisha funguo nikatupa baharini ili ubaki humo milele kwa yakini wewe ni lulu nisiyoweza kuipoteza,ukiniuliza nimekupendea nn hakika sitakuwa na jibu la moja kwa moja ila kitu kimoja nina uhakika nacho ni kuwa I love you my angel from the bottom of my heart,My queen you are the most precious thing in my life I can't live without you, please stay with me till death do us apart, Mwaaah nakupenda zaidi ya jana mahabuba wangu.
Imetisha.Laiti kama mapenzi yangu kwako yangekuwa yanapimika hakika yangeshinda uzito wa mchanga wa dunia nzima,nimekuweka katika chumba cha moyo wangu nikafunga na kufuli kisha funguo nikatupa baharini ili ubaki humo milele kwa yakini wewe ni lulu nisiyoweza kuipoteza,ukiniuliza nimekupendea nn hakika sitakuwa na jibu la moja kwa moja ila kitu kimoja nina uhakika nacho ni kuwa I love you my angel from the bottom of my heart,My queen you are the most precious thing in my life I can't live without you, please stay with me till death do us apart, Mwaaah nakupenda zaidi ya jana mahabuba wangu.
Unatoa mwenyeweee mkuuWakuu naomba kuuliza iktokea umeshinda betpawa wanakutumia mzigo au una widhndraw?
Jf wekeni filter ya umri please
Aiseee mwanamke apo lazima anyoshee mikono, full kusisimka mwili kila akisoma tena hiyo textNaam nitaweza mama nakuahidi kukupenda kwa dhati ya moyo wangu mpaka siku pumzi itakapousaliti mwili wangu, Warembo ni wengi ila kwangu mama ni wa kipekee uzuri wako ni wa kipekee na hakika mungu hakukosea kukuumba ulivyo chonde chonde mama usijibadili kwani nimekupenda jinsi ulivyo na nimeridhika nawe, Wewe kwangu ni zawadi ya pekee niliyopewa na mungu na niahidi nitakutunza na kukulinda siku zote za maisha yangu, nakuomba uisadiki kweli hii na unipokee moyoni mwako laazizi.
Umepokea kiasi cha...000000 kutoka kwa bwana.......
Salio lako la Mpesa ni...00000. Hakuna msg inalegeza kama hii.
"baby namekutumia 100,000 tigo pesa"
Ukweli usiopingika
Hii meseji ikiingia nyege zinapanda bila kusukumwaUmepokea kiasi cha...000000 kutoka kwa bwana.......
Salio lako la Mpesa ni...00000. Hakuna msg inalegeza kama hii.
Umepokea kiasi cha...000000 kutoka kwa bwana.......
Salio lako la Mpesa ni...00000. Hakuna msg inalegeza kama hii.
Message kama hii huwezi ituma ukiwa ushagegeda zaidi ya mara 4! Amini kwamba, hii ni ya kumlegeza manzi tu akuone upo deep kinyama kumbe unataka kumvua cost tu. Unafululiza kutuma week la kwanza baada ya kutuma maombi ukishaletewa papuchi ukaigegeda basi imeisha hio!Laiti kama mapenzi yangu kwako yangekuwa yanapimika hakika yangeshinda uzito wa mchanga wa dunia nzima,nimekuweka katika chumba cha moyo wangu nikafunga na kufuli kisha funguo nikatupa baharini ili ubaki humo milele kwa yakini wewe ni lulu nisiyoweza kuipoteza,ukiniuliza nimekupendea nn hakika sitakuwa na jibu la moja kwa moja ila kitu kimoja nina uhakika nacho ni kuwa I love you my angel from the bottom of my heart,My queen you are the most precious thing in my life I can't live without you, please stay with me till death do us apart, Mwaaah nakupenda zaidi ya jana mahabuba wangu.
Yaani acha kabisa.Hii meseji ikiingia nyege zinapanda bila kusukumwa