SMS za Kimahaba.

Naam nitaweza mama nakuahidi kukupenda kwa dhati ya moyo wangu mpaka siku pumzi itakapousaliti mwili wangu, Warembo ni wengi ila kwangu mama ni wa kipekee uzuri wako ni wa kipekee na hakika mungu hakukosea kukuumba ulivyo chonde chonde mama usijibadili kwani nimekupenda jinsi ulivyo na nimeridhika nawe, Wewe kwangu ni zawadi ya pekee niliyopewa na mungu na niahidi nitakutunza na kukulinda siku zote za maisha yangu, nakuomba uisadiki kweli hii na unipokee moyoni mwako laazizi.
Hii ukimwandikia Penny money, Madame B, Demiss. Hapo hapo wanasema yes
 
Laiti kama mapenzi yangu kwako yangekuwa yanapimika hakika yangeshinda uzito wa mchanga wa dunia nzima,nimekuweka katika chumba cha moyo wangu nikafunga na kufuli kisha funguo nikatupa baharini ili ubaki humo milele kwa yakini wewe ni lulu nisiyoweza kuipoteza,ukiniuliza nimekupendea nn hakika sitakuwa na jibu la moja kwa moja ila kitu kimoja nina uhakika nacho ni kuwa I love you my angel from the bottom of my heart,My queen you are the most precious thing in my life I can't live without you, please stay with me till death do us apart, Mwaaah nakupenda zaidi ya jana mahabuba wangu.
 
Laiti kama mapenzi yangu kwako yangekuwa yanapimika hakika yangeshinda uzito wa mchanga wa dunia nzima,nimekuweka katika chumba cha moyo wangu nikafunga na kufuli kisha funguo nikatupa baharini ili ubaki humo milele kwa yakini wewe ni lulu nisiyoweza kuipoteza,ukiniuliza nimekupendea nn hakika sitakuwa na jibu la moja kwa moja ila kitu kimoja nina uhakika nacho ni kuwa I love you my angel from the bottom of my heart,My queen you are the most precious thing in my life I can't live without you, please stay with me till death do us apart, Mwaaah nakupenda zaidi ya jana mahabuba wangu.
Demiss, miss natafuta, miss chagga, Penny money, Madame B, Mrs vann, na wengine wengi. tafadhalini njooni muone sms za Kimahaba kutoka kwa kamwene
 
Laiti kama mapenzi yangu kwako yangekuwa yanapimika hakika yangeshinda uzito wa mchanga wa dunia nzima,nimekuweka katika chumba cha moyo wangu nikafunga na kufuli kisha funguo nikatupa baharini ili ubaki humo milele kwa yakini wewe ni lulu nisiyoweza kuipoteza,ukiniuliza nimekupendea nn hakika sitakuwa na jibu la moja kwa moja ila kitu kimoja nina uhakika nacho ni kuwa I love you my angel from the bottom of my heart,My queen you are the most precious thing in my life I can't live without you, please stay with me till death do us apart, Mwaaah nakupenda zaidi ya jana mahabuba wangu.
Imetisha.
 
Naam nitaweza mama nakuahidi kukupenda kwa dhati ya moyo wangu mpaka siku pumzi itakapousaliti mwili wangu, Warembo ni wengi ila kwangu mama ni wa kipekee uzuri wako ni wa kipekee na hakika mungu hakukosea kukuumba ulivyo chonde chonde mama usijibadili kwani nimekupenda jinsi ulivyo na nimeridhika nawe, Wewe kwangu ni zawadi ya pekee niliyopewa na mungu na niahidi nitakutunza na kukulinda siku zote za maisha yangu, nakuomba uisadiki kweli hii na unipokee moyoni mwako laazizi.
Aiseee mwanamke apo lazima anyoshee mikono, full kusisimka mwili kila akisoma tena hiyo text
 
L
Laiti kama mapenzi yangu kwako yangekuwa yanapimika hakika yangeshinda uzito wa mchanga wa dunia nzima,nimekuweka katika chumba cha moyo wangu nikafunga na kufuli kisha funguo nikatupa baharini ili ubaki humo milele kwa yakini wewe ni lulu nisiyoweza kuipoteza,ukiniuliza nimekupendea nn hakika sitakuwa na jibu la moja kwa moja ila kitu kimoja nina uhakika nacho ni kuwa I love you my angel from the bottom of my heart,My queen you are the most precious thing in my life I can't live without you, please stay with me till death do us apart, Mwaaah nakupenda zaidi ya jana mahabuba wangu.
Message kama hii huwezi ituma ukiwa ushagegeda zaidi ya mara 4! Amini kwamba, hii ni ya kumlegeza manzi tu akuone upo deep kinyama kumbe unataka kumvua cost tu. Unafululiza kutuma week la kwanza baada ya kutuma maombi ukishaletewa papuchi ukaigegeda basi imeisha hio!
 

Similar Discussions

3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom