SMS hizi! Ungefanyaje?

Teja kafunga ilipofika mchana swaumu ikambana akawa anasikiliza redio kipindi cha kuchagua nyimbo, akapiga simu redioni maongezi yakawa hivi;
DJ: nani mwenzangu, unaongea toka wapi na unataka nyimbo gani?
TEJA: yote hayo siyataki naomba unipigie adhana ya magharibi nifuturu toka asubuh sijashtua!
 
Ha ha ha, u've made ma dei cna cha kutupia zaidi ya tasabamu
 
Yupi anajua KUUCHUNA?
Juha:Nilimpgia cm mke wangu akapokea hakusema 'hallow! nikauchuna sikuongea mpk pesa zote zikaisha!
Zoba:Niligonga mlango mke wangu akafungua hakuniambia karibu nikasmama palepale mlangoni mpk kesho yake nikageuza nikaondoka.
Zuzu:Tangu nimuoe mke wangu hajaniita mpenz, nimegoma kulala nae hadi leo miaka 6.
Wote wakamwambia: Wee muongo, mbona una watoto wawili?
Zuzu akajibu: mpaka leo sijamuuliza watoto ni wanani? NIMEUCHUNA tu.!
 

eee bwana vipaji unavyo bg up 4 dat.
 
Mwalim: ee john, nitajie wanyama kumi wa porini.
John: simba watatu na tembo saba

Duh! Hii safi sana, dat y mtu ukipata vidonda vya tumbo Tz cku izi ni vya kujitakia mwenyewe coz ukiwa na stress tu, unabovya blogs ka izi na kuanza kucheka, ka huna internet unasoma gazeti la katuni, ka huna unakaa jioni na bibi yako, ka huna unasikiliza kipindi cha bunge tu, yani utake usitake utacheka tu
 

We jamaa umenivunja mbavu hadi nimepaliwa
 
Daah, uteja ni nouma! Nimeipenda hii...
 

Dogo ni mkali wa mathetics ...big up kwa dogo!
 
kwa kwa kwaa hii kali
 
Jamaa alimuibia mzee nauli kwenye daladala.
Mzee: jamani aloniokotea nauli yangu anirudishie, nisije nikafanya nilichofanya mwaka 1977.
Jamaa huku akitetemeka akarudisha halafu akauliza: "kwani mzee 1977 ulifanya nini?
Mzee: nilitembea kwa miguu kutoka mbagala mpaka mwenge baada ya kupoteza nauli...!
 
Mlevi kaanguka toka ghorofani fasta watu wakamfata kumsaidia wakamuuliza VIPI IMEKUAJE? Mlevi akajibu: "HATA SIJUI NA MIE NDO NAFIKA SASA HIVI..."
 

kwa kwa kwa tehe teh
 
Konda: mkubwa unakwenda?
Jamaa: wapi?
Konda: kariakoo.
Jamaa: kufanya nini?
Watu: haaaaaa!
 
nadhani kwa mtindo huo inabidi apigwe miaka ya kutosha kwa kumtania yesu!
 
DINI IMANI BWANA:kuna jamaa aliingia msikitini na panga akakuta watu wanaswari,akauliza oya kuna muislam humu ndani,watu wote kimya akamchukua mmoja akaenda nae nje kumbe alikua anataka akamchinjie mbuzi,baada ya muda kidogo akarudi na panga lenye damu akauliza tena kuna muislam humu ndani jamani,watu wote mikono kwa shehe anaye swalisha,shehe nae akasema hivi jamani kuswalisha siku mbili tu mnaniita mwislam mie mwenyewe najifunza jamani,mwenyepanga akasema hivi nilikua ntaka wa kusaidia kuchuna ngoz ya mbuzi maana mwezenu kachinja,wote ahhhh,kisa panga unaikataa din duh
 
Jamani mje mnipeleke hosp wewe na sister maana mbavu cna mwenzenu ..... da.. really u made ma day.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…