kwa shiling 300,000 je naweza kupata smartphone gani nzuri?
Nisaidieni wadau
kwa shiling 300,000 je naweza kupata smartphone gani nzuri?
Nisaidieni wadau
Ni nzuli sana kwa ghalama nafuu iangalie hapa : GSMArena.com - GSM phone reviews, news, opinions, votes, manuals and more...
Asante mkuu. Hakuna samsung cheap?
kwa shiling 300,000 je naweza kupata smartphone gani nzuri?
Nisaidieni wadau
zipo poa mkuu?
Chukua HUAWEI ASCEND Y530 unlocked kwa tsh 230'000.
Inawezekana kuifanyia unlocking bei yake ni tsh 25'000mkuu mwl mshkaji wangu ameichukua hii juzi tigo arusha huku, kwa mafund wa huku bado hawajaweza kuziunlock, vp inawezekana kuziunlock?
me namshauri mdau achukue hii ni bonge la simu aisee
Mwl. Vp simu used kotoka nje?