DIRIMULAINA
JF-Expert Member
- Jul 12, 2018
- 978
- 1,835
Nauza simu yangu ninayotumia, haina tatizo lolote, nimeitumia mwaka 1. Mazungumzo kidogo yapo. Ninayo makao makuu (Dodoma) nicheki piemu.
Yah, ni brand nzuri sana ya tecno mkuuMhh mkuu hata dukani model hiyo imepotea mda sana zaidi ya miaka 2, ila ni simu nzuri
Baadae haijafika mkuu?Nimeshindwa kuipiga picha kwa sasa maana ndio naitumia kuperuzi humu..baadae nitafanikisha hilo.
Ha ha, imefika mkuu ila bado naitumia kuperuzi kidogoBaadae haijafika mkuu?