Kijana leo
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 2,860
- 812
smart chaji siku 2, du ukipata na mimi niambie aisee, la sivyo iwe kitochiphone inakaa wiki, hasa vile vi obama.
hahaha anataka vya rahisi eeh?kama anataka simu inayokaa na chaji Mamaafacebook mwambie akanunue nokia toch
hahaha anataka vya rahisi eeh?kama anataka simu inayokaa na chaji Mamaafacebook mwambie akanunue nokia toch
Haaaaaaaaaaaa waniangusha sasa, mie mwenyewe mafia risiti tu wala usihofu, sema tukazilie ubuyu na kachori au niaje,hofu ondoa maana kwa michambo mie mwenye PhD imelela ya michambo tu teh teh!
Ahhha hebu sie tukale ubuyu na.kachor kwa.hizo.hela.
Ewaaaaaaaaa :A S thumbs_up: hayo ndo maneno sasa
Hakuna hyo simu unayotaka wewe mradi ushasema smartphone bac chaji ni tatizo
Kwani huyo mrembo thamani yake pia ni ndogo?
Maana nimeona like pekee haitoshi nashukuru kiongozi kwa ujumbe maridhawa kabisa kwa kijana huyu,Kamnunulie baba au mama yako upate thawabu kijana, acha kupoteza nguvu zako kwa girlfriend halafu kesho na keshokutwa mnamwagana unaanza kujuta. Kama ni mkeo sawa lkn siyo girlfriend. Au km vp hiyo hela peleka msikitini au kanisani
me beby wangu Mafikizolo nishamnunulia smart phone, na saiv nataka nimnunulie iphone 6 plus.....Ahhhhhahhhhha we hutaki kumnunulia baby smartfone??? Mie wangu wa ubani CYBERTEQ kashaninunulia.tatu pia naona zime.x pire
#chief-mkwawa naona uko kimya kuhusu wageni wa apple,nini maoni yako?je tutegemee nini kutoka Nokia?kwa matumizi ya kuingia internet saa 1, kupiga simu saa 1 na kuangalia video saa 1 simu kama lumia 1520, huawei ascend mate 2 na lg gflex zinakaa zaidi ya siku nne na charge.
ila kwa budget ya 125,000 sikushauri ununue smartphone maana haitakaa na charge.
labda utafute ile simu yenye kioo kisicho na rangi
me beby wangu Mafikizolo nishamnunulia smart phone, na saiv nataka nimnunulie iphone 6 plus.....[/QUOTE
Ahhhhhha ngoja nikajibebishe CYBERTEQ na mie aninunulie zingine
#chief-mkwawa naona uko kimya kuhusu wageni wa apple,nini maoni yako?je tutegemee nini kutoka Nokia?