Acha uongo Wewe, Lenovo P780 inakaa na charge hadi Sikh 4 ukitumia line 1 na siku 3 ukiweka line mbili. Ukubwa wa betri yake ni 4000mAh
Na wewe pia acha uongo kwa mujibu wa gsmarena max battery life ya hii simu ni masaa 25. Hiiinamaanisha ukiwa unatumia na makorokocho mengine hapo ni masaa 12 tu.
Na wewe pia acha uongo kwa mujibu wa gsmarena max battery life ya hii simu ni masaa 25. Hiiinamaanisha ukiwa unatumia na makorokocho mengine hapo ni masaa 12 tu.
Acha ubishi Wewe kwa kukariri, naongea hivyo siyo kwa kusoma kwenye internet kama wewe . Mimi ndiyo simu ninayoitumia hiyo lenovo P780 na ninachoongea ndiyo ninachokiona kwa almost mwaka mzima tangu niinunue. Usikariri nyambaaaafff!!
Acha ubishi Wewe kwa kukariri, naongea hivyo siyo kwa kusoma kwenye internet kama wewe . Mimi ndiyo simu ninayoitumia hiyo lenovo P780 na ninachoongea ndiyo ninachokiona kwa almost mwaka mzima tangu niinunue. Usikariri nyambaaaafff!!