Smart911 Kufunga Mwaka na Kasinde. ....

Smart911 Kufunga Mwaka na Kasinde. ....

Status
Not open for further replies.
Hahahahahahahaa ila mpenz, mahaba ya hivi wajua naweza potea mazima hata kazini nisirudi heheheheheh kila nikisema sasa naondoka waapi kila nikanyanyuka nivae viatu waapi looh you rock. .!!

Kasinde you made my day... you make me smile... napenda ulivyo muoga lakini bado unakubali...
 
Kasinde you made my day... you make me smile... napenda ulivyo muoga lakini bado unakubali...

Karibu mpenz, niko kwa ajili yako kwa lolote utakalo, tabasamu utapata na pia ntakufanyia mambo mazuri hata kwako tabasamu halitakauka. Nimechizikajee....

Kiukweli kauoga kipo ila nikikumbuka tuu kuwa wewe ndo bing wa wangu, hofu na mashaka naondoka maana najua katika ya kifua chako umenikumbatia na mikono yako imenizunguka.....

Kasie mie nadata nshadata. .....
 
Ohooo wanawake wanawahi kuchoka! Mara oohhh umri ukisonga wanakosa mzuka!!! Kasie yuko vizuri licha ya umri kusonga, wameanza eti damu inachemkia uzeeni!!! Kula maisha Kasie!! Love you Kasie!!!

Asante KAHUSE
 
hunipendi ?

Wewe ni nani? Sidhani kama tunafahamiana. Sina chuki na mtu na nikimchukia mtu ni kwasababu flani..... kama umefanya kitu flani basi siwezi kuwa na urafiki nawe.
 
Karibu mpenz, niko kwa ajili yako kwa lolote utakalo, tabasamu utapata na pia ntakufanyia mambo mazuri hata kwako tabasamu halitakauka. Nimechizikajee....

Kiukweli kauoga kipo ila nikikumbuka tuu kuwa wewe ndo bing wa wangu, hofu na mashaka naondoka maana najua katika ya kifua chako umenikumbatia na mikono yako imenizunguka.....

Kasie mie nadata nshadata. .....

🙂🙂🙂
Haya embu lala sasa... usije ukashindwa kuamka... Kesho nitaangalia na muda kama tutatoka tena, kama kawaida... ila kaa ukijua amri zangu ni zile zile hazibadiliki, utaondoka pale nitakapoamua mimi, nashukuru kwa kutii hilo...
 
🙂🙂🙂
Haya embu lala sasa... usije ukashindwa kuamka... Kesho nitaangalia na muda kama tutatoka tena, kama kawaida... ila kaa ukijua amri zangu ni zile zile hazibadiliki, utaondoka pale nitakapoamua mimi, nashukuru kwa kutii hilo...

Nakuja unibembeleze usingizi uje kila nikifumba macho usingizi hauji. Nakuja ukisikia honi 3 ni mimi.
Ya kesho tunayaanzia usiku huu huu. ... kwako nimefunga breki ubishi sina, amri yako naitii.
 
Nakuja unibembeleze usingizi uje kila nikifumba macho usingizi hauji. Nakuja ukisikia honi 3 ni mimi.
Ya kesho tunayaanzia usiku huu huu. ... kwako nimefunga breki ubishi sina, amri yako naitii.

Tumetoka kusindikizana muda siyo mrefu unataka kurudi tena? Haya karibu mimi nipo...
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom