Smart phones VS Internet cafe

Simu kibao kitaa kwa sisi wengne hatujui hata simu madukani shing ngapi tumezoea kununua used check kwenye matangazo madog madogo
 
Android kwa bongo no doubt, kama ukiweza kuipata simu ya ZTE Blade ni nzuri sana sidhani kama kuna Android nzuri zaidi kwa bei hiyo (around $150) , Huawei Ideos ndo cheapest ($80 Kenya) ila sio nzuri, ukienda kwenye high end Android kama Samsung Galaxy S2 ni Sh. 1,000,000/= HTC Sensation ni 800,000/=
 
anaetaka sim ani pm,nitakupa namba za wadau wanaouza.kwa bei ndogo kuliko ya dukani.
 
Kumbukeni kuwa mwanzo mwa Internet watu walisema itaua bishara ya Magazeti, hata wakati tv zinaanza wakasema itaua biashara ya radio. Sidhani na wala sitegemei kuwa Internet cafe zitakufa kwa ajili ya Smart phone, hiyo ni ndoto yako. I feel more comfortable ninapotumia PC au laptop kuliko smart phone. I used to manage blackberry server najua hatari za Smart phone hasa Blackberry, not safe. Never trust phone wakuu kila kitu unachokifanya wenye hiyo smart phone yako kina aacha copy kwenye server, not safe at all.
 
Kitu cha htc sensation umekiweka salio zuri nakuhakikishia utagusa cafe hata iweje au blackberry storm tena umelipia bb service ya airtel au vodacom ni balaa, but tatizo ya hizi simu ukiibiwa unaweza usile hata wiki na utajisikia mpweke sana ukirudi kwenye simu za kawaida pale utakapoipoteza, maana ziko addictive sana, never forget kuna kitu kinaitwa amazon kindle touch ni net book like tablet tena very cheap around 180 usd yaani kwa online activities you won't be dissapointed and never step ur foot on cyber shops
 
Back
Top Bottom