Smart phones VS Internet cafe

Jonogomero

Member
Feb 8, 2012
99
27
Kwa kweli hizi smart phones zinapoteza kabisa internet cafe, kwa maana imefikia hatua kila kitu mtu unafanya kwa kiganja chako, hata moderm sasa zitakosa soko sasa. Mtu akienda cafe ujue anafuata photocopy na printing tu.
 
Sure mm napenda tumia my smart phone kuliko comp kwenye masuala ya internet ukinikuta natumia laptop yangu jua napga mzigo wa designing au editing something.
Technology saves money and time ukiwa na smart phone unakuwa una kila kitu katka mawasiliano.
 
Dah! Kweli mi nakumbuka mwaka jana simu yangu ilivyoniokolea pesa wakati wa kuaply vyuo na loan! Cafe nilienda tu kuprint form ya mkopo!
 
Kwa kweli hizi smart phones zinapoteza kabisa internet cafe, kwa maana imefikia hatua kila kitu mtu unafanya kwa kiganja chako, hata moderm sasa zitakosa soko sasa. Mtu akienda cafe ujue anafuata photocopy na printing tu.

Ni uchunguzi mzuri sana. Unahitajika utafiti wa kujua ni kwa kiwango gani hizi 'simu-janja' zinavyoathiri biashara ya internet cafe Tanzania.
 
Msaada jamani sijawahi kutumia smart phone ila nnampango wa kuinunua naomba mnisaidie ni aina gani ya smart phone itanifaa kutokana na uzoefu wenu
 
Kwa kweli hizi smart phones zinapoteza kabisa internet cafe, kwa maana imefikia hatua kila kitu mtu unafanya kwa kiganja chako, hata moderm sasa zitakosa soko sasa. Mtu akienda cafe ujue anafuata photocopy na printing tu.

Sio lazima uwe na Smartphone, mimi nina SAMSUNG ya kawaida kabisa, lakini mapango mazima.
Unless sijaelewa maana ya smartphone, vipi, wewe unayo moja?
 
Msaada jamani sijawahi kutumia smart phone ila nnampango wa kuinunua naomba mnisaidie ni aina gani ya smart phone itanifaa kutokana na uzoefu wenu

Kama wataka cheap smart phone nunua nokia hata n72 kama una ela ya kutosha nunua e72 au iphone au blackberry
 
kaka internet cafe bado zinajaa wateja,kuna mambo mengi ambayo huwezi kufanya kwenye smartphones,pamoja na watu kuwa na laptops na kuwa na modem bado internet imekuwa ni muafaka kimatumizi na kulinganisha na hizo smartphones ,ambazo mi naona bado ni toy(zaidi zinatumika kwa email,facebook,twitter) ukiwa na kazi kubwa lazima utaenda cafe
 
kwa mimi mkuu ni bora nikakosa pc kuliko smartphone maana naweza kutumia phone at any place halafu smartphon zinakaa na charge si kama laptop tusaa tuwili imejitahid sana. Laptop tunaziitaji kama tunafanya kazi heavy.
Longlive smartphones
 
Msaada jamani sijawahi kutumia smart phone ila nnampango wa kuinunua naomba mnisaidie ni aina gani ya smart phone itanifaa kutokana na uzoefu wenu

Yeyote inayotumia os ya Android. inaweza kuwa HTC, Sony Ericsson Xperia au Samsung Galaxy
 
kaka internet cafe bado zinajaa wateja,kuna mambo mengi ambayo huwezi kufanya kwenye smartphones,pamoja na watu kuwa na laptops na kuwa na modem bado internet imekuwa ni muafaka kimatumizi na kulinganisha na hizo smartphones ,ambazo mi naona bado ni toy(zaidi zinatumika kwa email,facebook,twitter) ukiwa na kazi kubwa lazima utaenda cafe

Toy? you must be on drugs. Kuna smartphone zenye uwezo mkubwa kuliko hiyo mikebe ya enzi za Pentium zilizojaa kwenye ma cafe!
 
ukiwa na iPhone 4 o 4s, Galaxy Note utasahau kwenda internet cafe,,,,,:poa :poa
 
Tatzo la os ya android inakula sana chaj tofauti na symbian. Mfano mimi kwa simu yangu ya e63 naweza kaa online all day na isiishe chaj

Symbian ni very slow. Halafu hakuna tena simu zinazotumia OS ya Symbian zaidi ya Nokia hivyo software zake zinakuwa limited maana developers hawai-support sana.

Android zilizokuwa zinakula chaji ni zile za mwanzo 1.6 (donut) lakini latest 3.0 au 4.0 ni nzuri sana. Mimi natumia 2.3.4 kwenye simu ya screen kubwa, saa zote ikiwa kwenye net, ku-update weather, ku push email na wallpaper live (yenye video), kupiga simu karibu kila baada ya dk 20, message non-stop na ku-surf pages na bado napata siku nzima (masaa 16) bila shida.
 
Toy? you must be on drugs. Kuna smartphone zenye uwezo mkubwa kuliko hiyo mikebe ya enzi za Pentium zilizojaa kwenye ma cafe!

Unasema kweli kabisa. Simu yangu ina processing power kuliko desktop computer ninayotumia. Sio kusema kuwa smartphones zinaweza kuchukua nafasi ya computers, ila kila mojawapo inafaa kwa namna yake. Inategemea unafanya shughuli gani na hivyo vifaa.
 
Symbian ni very slow. Halafu hakuna tena simu zinazotumia OS ya Symbian zaidi ya Nokia hivyo software zake zinakuwa limited maana developers hawai-support sana.

Android zilizokuwa zinakula chaji ni zile za mwanzo 1.6 (donut) lakini latest 3.0 au 4.0 ni nzuri sana. Mimi natumia 2.3.4 kwenye simu ya screen kubwa, saa zote ikiwa kwenye net, ku-update weather, ku push email na wallpaper live (yenye video), kupiga simu karibu kila baada ya dk 20, message non-stop na ku-surf pages na bado napata siku nzima (masaa 16) bila shida.

Unalosema kuhusu symbian kutumika kwa nokia tu kwa sasa ni sawa lakn kuhusu suala la apps nadhan still ztakuwepo mbona blackberry os yao inatumika kwenye simu zao tu na still kuna apps nyingi for them pia ios mbona apps nyingi pia jaribu symbiana anna uone iko poa kaka. But the fact ni kwamba android ni poa but ina tatizo la kucrash na kufail within the apps lakin symbian mimi naona iko stable zaidi.
Windows mob kwangu takataka yani simu inakuwa haiko stable kabisa labda tungoje WM8
 
Back
Top Bottom