Jonogomero
Member
- Feb 8, 2012
- 99
- 27
Kwa kweli hizi smart phones zinapoteza kabisa internet cafe, kwa maana imefikia hatua kila kitu mtu unafanya kwa kiganja chako, hata moderm sasa zitakosa soko sasa. Mtu akienda cafe ujue anafuata photocopy na printing tu.