Jaguar
JF-Expert Member
- Mar 6, 2011
- 3,438
- 1,026
(Sista Benadeta akimsimulia sista Marieta yaliyomsibu alikotoka).>>>>> (SISTA BENADETA):Basi bwana,nikawa nikiongeza mwendo na yeye anaongeza,kila kona ninayokata na yeye yumo,nikajua ana malengo mabaya na mimi a.k.a anataka kunibaka.>>>>> (SISTA MARIETA):Ukachukua uamuzi gani dadangu?>>>>> (SISTA BENADETA):Si ndo nikaanza kutimua mbio,lakini kwa sababu yeye ni mwanaume akawa anazidi kunikaribia kwa kasi,nikaamua kumkomoa,nikapandisha gauni juu kabisa na yeye akashusha suruali na chupi yake chini magotini.>>>>> (SISTA MARIETA):Hapo ndo patamu,enhe nambie kilichofuata? (SISTA BENADETA):Si unajua tena,mwanaume aliyeshusha suruali na chupi hadi magotini haweza kukimbia sawa na mwanamke aliyeinua gauni juu....kwa hiyo nilimshinda mbio na ndo maana nimefika salama hapa.