Da Vinci XV
JF-Expert Member
- Dec 7, 2019
- 3,837
- 6,372
- Thread starter
- #41
Duuuuh mkuu hii ni nyingine ya aina yakeMkuu mimi nakumbuka enzi tupo shule ya msingi kuna nyumba ya mzee mmoja hivi alikuwa na bomba ile ya kubebea dishi za ving'amuzi yale maungo makubwa ya zamani.
Sasa lile bomba lilikuwa ni la chuma kila tunavyoludi shule lazima tulichezee sasa maajabu yalikuwa wengine wakishika amna kitu ila mimi nikishika napigwa na shoti ya umeme kila nikiwaeleza wenzangu kuwa iyo bomba mimi nikishika inanipiga shoti awaelewi maana wao wanashika vizuri tu.
Mpaka leo sijawaielewa kwanini ilikuwa inatokea vile.
Vipi ni bomba lile lile tu lilikuwa linakupata matokeo uliyoyazungumza
Au ushawahi kukumbana na hali kama hiyi tofauti na mazingira hayo.
Labda ukashika kitu kingine kikakuletea athari kama hiyi???