Da Vinci XV
JF-Expert Member
- Dec 7, 2019
- 3,837
- 6,372
- Thread starter
- #21
Shukraani mkuu🤝Aisee uzi mzuri
Shukraani mkuu🤝Aisee uzi mzuri
😳😳mchaichai bei gani fungu hapo kitaa kwenye
Hebu jaribu kujichunguza wewe au mwenzako huyo katika matukio ya namna hiyo.mkuu hii mada imenigusa
na kunichanganya pia
maana hiki kitu unachokizungumzia kimenitokea juzi
hapa mji wa kiselikali dodoma.
nilikuwa nmepanda pikpki
mimi na mwenzangu
tulipofika kwenye mataa kila tukifika kwenye taa mwanga unaongezeka panakua peupe sana,
ukivuka mwanga unapungua
hii hali ilitushangaza hadi mwenzangu aliniuliza kwamba
kwanini tukifika kwenye taa mwanga unaongezeka?
mimi nikamjibu kwamba
labda inawezekana hizi taa
wamezifunga maalumu
kwa mwanga wa wastan
ili zisitumie umeme mwingi
lakin mtu akipita zinatoa mwanga ili mtu aone vzur
kisha zinarud kwenye hali ya kawaida
ili zisitumie umeme mwingi.
Sawasawa mkuu🤝Ahsante Kwa taarifa...
Tutumie hizi mvua kupanda mazao yanayostahimili ukame
😅😅😅😅Kweli mkuu
Kama mada sio size yako ni uungwana kupita kimya kuliko kuharibu Uzi.. kuna watu tunahitaji kujifunza hapa. AsanteTutumie hizi mvua kupanda mazao yanayostahimili ukame
Urea .....105,000 kwa kilo 50.mkuu bei ya Mbolea ngap uko?
Huna chuma chochote mwilini thru op!Mkuu mimi nakumbuka enzi tupo shule ya msingi kuna nyumba ya mzee mmoja hivi alikuwa na bomba ile ya kubebea dishi za ving'amuzi yale maungo makubwa ya zamani.
Sasa lile bomba lilikuwa ni la chuma kila tunavyoludi shule lazima tulichezee sasa maajabu yalikuwa wengine wakishika amna kitu ila mimi nikishika napigwa na shoti ya umeme kila nikiwaeleza wenzangu kuwa iyo bomba mimi nikishika inanipiga shoti awaelewi maana wao wanashika vizuri tu.
Mpaka leo sijawaielewa kwanini ilikuwa inatokea vile.
Kuna vitu hao wanasayansi bado hawajavigundua bado, possibly we ni aina ya watu wanaozungumziwa kwenye hii madaMkuu mimi nakumbuka enzi tupo shule ya msingi kuna nyumba ya mzee mmoja hivi alikuwa na bomba ile ya kubebea dishi za ving'amuzi yale maungo makubwa ya zamani.
Sasa lile bomba lilikuwa ni la chuma kila tunavyoludi shule lazima tulichezee sasa maajabu yalikuwa wengine wakishika amna kitu ila mimi nikishika napigwa na shoti ya umeme kila nikiwaeleza wenzangu kuwa iyo bomba mimi nikishika inanipiga shoti awaelewi maana wao wanashika vizuri tu.
Mpaka leo sijawaielewa kwanini ilikuwa inatokea vile.
🤝🤝 kwa kuona umuhimu wakeKama mada sio size yako ni uungwana kupita kimya kuliko kuharibu Uzi.. kuna watu tunahitaji kujifunza hapa. Asante
Naoan bado visa vya wao kukumbana na radi bado havijasimuliwa zaidiiiSasa hawa wakikaa maeneo ya ngurumo na radi hali itakuwaje?
Ni mbwa muoga tu hubwekea ndege mkuu😅😅Naona kuna wajomba wanauliziana bei za mbolea na mwingine fungu za mchicha na mchai chai 😂😅 watu mmepinda aseee