Me naona ina depend na mtoto na malezi,ishatokea binti yangu akaomba ruhusa hio na wala haikuusiana na masomo nkakubali kiroho knadunda hhh..
Mambo ya sleepover baadae yakawa normal na nkawa na comfidence nae sana sbb km mzazi vtu bingi nlkua nampa makavu.
Kimbembe siku nmemkuta eneo la kujidai,nkavuta kiti kukaa akantambukisha,'this is my boyfriend'..
Fastforward,nmerud nyumbani km baba vile vijimawazo kua maskini binti yangu anafanyiwa yale nlyofanyia binti za watu hhh..
Anyway, current ni wachumba, Xmass naexpect kumuozesha..
Malezi muhimu sana hasa sisi wanaume,ishi na watoto wako wape ukweli kipi kbaya,kipi kizuri.as age inavyoenda,mabinti kna vtu watafanya tu hata ukiwa mkali km simba,so ili uspatr presha weka principle zako km mzazi na uzsimamie,na awe anajua tu dingi msela ila kwnye mambo ya msingi heri akutane na wasiojulikana kulko akukoroge.
Am proud of my daughters.
Kunogesha stori nmepishana nae miaka 10 tu [emoji41][emoji41]