Aya kama huitaki kwako, muache binti yako aende ya kwa wenzake..Hawa watoto wa English Medium wana hizi arrangements za sleep over. Kwakweli niitwe zilipendwa hii kitu haitatokea nyumbani kwangu.
Mkuu, igoogle.Ndo nini hiyo sijaelewa
Hatari sana mkuu sio English medium tu...kuna shule moja ya kata, form 4 walikuwa wanachangia Kama 30 ya chakula, alafu wanakuwa wanalala shule (shule ilikuwa inanyumba kadhaa na magodoro ya kutoshana)....Hii iliazimia kuimprove watoto kielimu na muda mwingi wawekezaji focused na masomo tu, but wahuni sio watu wazuri yan ilileta urahisi wa watoto kutoroshwa usiku na pia hata walimu mwenyewe wa kiume kujikarabatia... Sio hivyo tu hata wanafunzi wenyewe walikulana mpaka sio vizuri......kitu kizuri ni kuwa kila mzazi anajua namna ya kumlea mtoto wake katika mazingira anayoona ni mazuri, ila kulipia kabisa mtoto wako akawe karibu na wahuni sio jambo zuriHawa watoto wa English Medium wana hizi arrangements za sleep over. Kwakweli niitwe zilipendwa hii kitu haitatokea nyumbani kwangu.
Ninamaanisha haitatokea aende wala arudi
Daaah nimecheka hadi basi aiseeeDaah sie tunaotafsiri kingereza neno kwa neno tuna shida...
Yaani tafsiri niliyoipata hapo Mungu ananiona!.
Daaah nimecheka hadi basi aiseeeDaah sie tunaotafsiri kingereza neno kwa neno tuna shida...
Yaani tafsiri niliyoipata hapo Mungu ananiona!.
sleep OVER. Mkuu umenifurahisha sana. Yani nina text huku nachekaDaah sie tunaotafsiri kingereza neno kwa neno tuna shida...
Yaani tafsiri niliyoipata hapo Mungu ananiona!.
Kuna Mekuu mmoja alioa mzungu. Walipata watoto wakike walipokua binti sikumoja alimleta boyfriend nyumbani. Mzee anatoka maliwatoni asubuhi anakutana na kajamaa na boxer kama yuko kwake.Kuna mwana aliletaga uzi humu JF...
Anasoma Ujerumani eti akapata kabinti kakijerumani kazuri ka 16...
Kakampeleka hii mnayoita sleepover walipofika nyumbani kakaiambia familia eti yupo chumbani na mwana.
Wakaanza mambo bwana katoto kakawa kanalia zile....walipomaliza wakaja sebuleni..
Baba anakauliza eti ilikuwa taamu eeeh. ila jamiiforums bhana hawa watu sijui wameenda wapi siku hizi hatucheki.
Mwana popote ulipo nakusalimu aiseeh.
UZUNGU WA HIVYO NI MARUFUKU NZITO KWANGU.WATOTO WANGU WANALELEWA KWANGU AND THAT WILL NEVER CHANGE,NOT WHEN AM STILL BREATHING!Hawa watoto wa English Medium wana hizi arrangements za sleep over. Kwakweli niitwe zilipendwa hii kitu haitatokea nyumbani kwangu.
Kuna Mekuu mmoja alioa mzungu. Walipata watoto wakike walipokua binti sikumoja alimleta boyfriend nyumbani. Mzee anatoka maliwatoni asubuhi anakutana na kajamaa na boxer kama yuko kwake.
Mzee alivuta mkanda wa suruali alianza kuchapa binti ametoka anapiga kelele. Mama anaomba yaishe wasiamshe majirani.
Mzee alicharaza wote. Kijana aliokoa maisha yake ndani ya boxer nje snow inaanguka.
Kuna Mekuu mmoja alioa mzungu. Walipata watoto wakike walipokua binti sikumoja alimleta boyfriend nyumbani. Mzee anatoka maliwatoni asubuhi anakutana na kajamaa na boxer kama yuko kwake.
Mzee alivuta mkanda wa suruali alianza kuchapa binti ametoka anapiga kelele. Mama anaomba yaishe wasiamshe majirani.
Mzee alicharaza wote. Kijana aliokoa maisha yake ndani ya boxer nje snow inaanguka.