Slay queen sio mwanamke wa kuoa

Slay queen sio mwanamke wa kuoa

Msisahau kwamba hapa jf hakuna maskini asie na hela. Kila mtu ni millionaire na ana maisha mazuri jamani. Anamiliki nyumba kal na gari zuri tu kwahio hizi kejeli tuache jamani. Kila mtoa mada sio sakara kabisa...ni watu wenye pesa ndefu tu!
 
Miaka ya karibuni kumekua na wimbi LA wazee kuoa slay queen, na wamekua wakiwaona vijana hawana akili Kwa sababu hawawaoi maslay queen

Ukweli ni kwamba maslay queen wengi wao ni magold digger, ndo maana hawakubali kuolewa na mwanaume wa kawaida ambaye ana kipato cha kawaida, target yao ni wazee wenye ela

Na walioa maslay queen wamekua na mwisho mbaya, wamekufa vifo vya kutatanisha na wapo waliofilisika

Slay queen ni wanawake/wasichana wa matumiz ya kawaida, lakin sio wa kuoa, kwa hy sio kila mwanamke wa kuoa na sio kila mwanaume ni family man
RIP Tycoon Mengi
Toa mfano wa slay queen
 
Back
Top Bottom