Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,273
- 96,398
Afu warembo wote wanamwita shemejiMwache aendelee kulialia kuja kushtuka pesa hana, demu wa maana hana
Afu warembo wote wanamwita shemejiMwache aendelee kulialia kuja kushtuka pesa hana, demu wa maana hana
Tutafute pesa nyingi au za kutosha?Hebu tafuteni pesa huko.
Pole Jack... Yatasemwa mengi juu yako... Lakini wakati ndio utaamuaMiaka ya karibuni kumekua na wimbi LA wazee kuoa slay queen, na wamekua wakiwaona vijana hawana akili Kwa sababu hawawaoi maslay queen
Ukweli ni kwamba maslay queen wengi wao ni magold digger, ndo maana hawakubali kuolewa na mwanaume wa kawaida ambaye ana kipato cha kawaida, target yao ni wazee wenye ela
Na walioa maslay queen wamekua na mwisho mbaya, wamekufa vifo vya kutatanisha na wapo waliofilisika
Slay queen ni wanawake/wasichana wa matumiz ya kawaida, lakin sio wa kuoa, kwa hy sio kila mwanamke wa kuoa na sio kila mwanaume ni family man
RIP Tycoon Mengi
Hunaaaaaa
Tafuta pesa dogo
Kutafuta ni lazimaKakwambia atafuti?
Au mnajuana?
Ila hakuna sehemu alipotajwa jack kabisaPole Jack... Yatasemwa mengi juu yako... Lakini wakati ndio utaamua
Tatizo LA huku watu wanajudge watu wasiowajua na kufikiri kila mtu hanahelaKakwambia atafuti?
Au mnajuana?
Hakuna niliposema katajwa na sijasema ni jack ganiIla hakuna sehemu alipotajwa jack kabisa
Hahaaa demu wa maana ndo yupi rafikiMwache aendelee kulialia kuja kushtuka pesa hana, demu wa maana hana
Kama huyo wa kwakoHahaaa demu wa maana ndo yupi rafiki
Hahaaa haya bana, am speechless
Umeniweza kweli![]()
![]()

Tafuta pesa ili aje kuoa slay queen?Tafuta pesa dogo
Acha kumtisha Dogo,,,, kuna types za wanawake ni deadly weapons kweliTafuta pesa dogo
Demu wa maana ni yule mtafutaji sio anayehemea hela za wanaume.
Namtu anayejitambua haoi mwanamke mchunaji ndio maana asilimia ya matajiri wake zao sura hakuna wala shepu.
Unaoa mtu akuletee shida ndani aongeze bajeti zisizo nampangilio.
Eti mahousegirl kumi au ishirini wewe nani umefanya nini hadi uletewe ishirini.
Hela za wenzako unakula mimi mtu nampa big up nizari tu wengine woi.
Kazi kumendea mali za wenyewe nakuzaa vipakaa.
Ili ale vya watu tu nakusumbua familia za watu.
Kutwa presha.
Simtishi, atafute hela na akae mbali na hao slay queens.Acha kumtisha Dogo,,,, kuna types za wanawake ni deadly weapons kweli