Kimwerymdodo5
JF-Expert Member
- Feb 10, 2019
- 2,047
- 3,322
Jambo na vijambo.wakuuu!tusakeni dooh,hizi slay zipogo tu,daily zinazaliwa.🏃🏃🏃🏃
Mim sio dogo, na unahukika gan sina elaTafuta pesa dogo
😀, Hela ya kubadili mboga unayo, ila am sure pesa huna!Mim sio dogo, na unahukika gan sina ela
Una uhakika gan sina pesa, je unanijua usipende kumjaji MTU usiyemjuaMwache aendelee kulialia kuja kushtuka pesa hana, demu wa maana hana
HunaaaaaaUna uhakika gan sina pesa, je unanijua usipende kumjaji MTU usiyemjua
Unijui alafu unahukika sina ela, haya ni maajabu ya dunia😀, Hela ya kubadili mboga unayo, ila am sure pesa huna!
Miaka ya karibuni kumekua na wimbi LA wazee kuoa slay queen, na wamekua wakiwaona vijana hawana akili Kwa sababu hawawaoi maslay queen
Ukweli ni kwamba maslay queen wengi wao ni magold digger, ndo maana hawakubali kuolewa na mwanaume wa kawaida ambaye ana kipato cha kawaida, target yao ni wazee wenye ela
Na walioa maslay queen wamekua na mwisho mbaya, wamekufa vifo vya kutatanisha na wapo waliofilisika
Slay queen ni wanawake/wasichana wa matumiz ya kawaida, lakin sio wa kuoa, kwa hy sio kila mwanamke wa kuoa na sio kila mwanaume ni family man
RIP Tycoon Mengi
Aslay qeen ni ndugu yake na aslay au?Miaka ya karibuni kumekua na wimbi LA wazee kuoa slay queen, na wamekua wakiwaona vijana hawana akili Kwa sababu hawawaoi maslay queen
Ukweli ni kwamba maslay queen wengi wao ni magold digger, ndo maana hawakubali kuolewa na mwanaume wa kawaida ambaye ana kipato cha kawaida, target yao ni wazee wenye ela
Na walioa maslay queen wamekua na mwisho mbaya, wamekufa vifo vya kutatanisha na wapo waliofilisika
Slay queen ni wanawake/wasichana wa matumiz ya kawaida, lakin sio wa kuoa, kwa hy sio kila mwanamke wa kuoa na sio kila mwanaume ni family man
RIP Tycoon Mengi
Mkuu unatusaidiaje sisi wa kolomije kujua nani ni slay queen na nani sio?Miaka ya karibuni kumekua na wimbi LA wazee kuoa slay queen, na wamekua wakiwaona vijana hawana akili Kwa sababu hawawaoi maslay queen
Ukweli ni kwamba maslay queen wengi wao ni magold digger, ndo maana hawakubali kuolewa na mwanaume wa kawaida ambaye ana kipato cha kawaida, target yao ni wazee wenye ela
Na walioa maslay queen wamekua na mwisho mbaya, wamekufa vifo vya kutatanisha na wapo waliofilisika
Slay queen ni wanawake/wasichana wa matumiz ya kawaida, lakin sio wa kuoa, kwa hy sio kila mwanamke wa kuoa na sio kila mwanaume ni family man
RIP Tycoon Mengi
Mwenyewe nlidhan hivo, ila watu wa mujini wanatutesa na hizi misemo yao aiseeAslay qeen ni ndugu yake na aslay au?
Kumbe ni nn?Mwenyewe nlidhan hivo, ila watu wa mujini wanatutesa na hizi misemo yao aisee
Ngoja mleta uzi aje kututafsiriaKumbe ni nn?
Naunga mkono hoja ila pale ulipokuwa uwaongelea umekosea maslay queen ni wasichana au wadada au wamama ambao ni wanapenda maisha ya juu ila akili hawana.Miaka ya karibuni kumekua na wimbi LA wazee kuoa slay queen, na wamekua wakiwaona vijana hawana akili Kwa sababu hawawaoi maslay queen
Ukweli ni kwamba maslay queen wengi wao ni magold digger, ndo maana hawakubali kuolewa na mwanaume wa kawaida ambaye ana kipato cha kawaida, target yao ni wazee wenye ela
Na walioa maslay queen wamekua na mwisho mbaya, wamekufa vifo vya kutatanisha na wapo waliofilisika
Slay queen ni wanawake/wasichana wa matumiz ya kawaida, lakin sio wa kuoa, kwa hy sio kila mwanamke wa kuoa na sio kila mwanaume ni family man
RIP Tycoon Mengi
Demu wa maana ni yule mtafutaji sio anayehemea hela za wanaume.Mwache aendelee kulialia kuja kushtuka pesa hana, demu wa maana hana
Huyo zari Kama hapendi pesa kwanini anajiweka kwenye walio na pesa? 😀😀😀, Kutafuta tutafute za kwetu na kupewa tupewe vile vile ndo inanoga!Demu wa maana ni yule mtafutaji sio anayehemea hela za wanaume.
Namtu anayejitambua haoi mwanamke mchunaji ndio maana asilimia ya matajiri wake zao sura hakuna wala shepu.
Unaoa mtu akuletee shida ndani aongeze bajeti zisizo nampangilio.
Eti mahousegirl kumi au ishirini wewe nani umefanya nini hadi uletewe ishirini.
Hela za wenzako unakula mimi mtu nampa big up nizari tu wengine woi.
Kazi kumendea mali za wenyewe nakuzaa vipakaa.
Ili ale vya watu tu nakusumbua familia za watu.
Kutwa presha.
Mim ninapesa tayari Kwa taarifa yakoAcha ntantalila tafuta pesa
Unapoint nzuri sana nasipingi kwa maana unajitambua .Huyo zari Kama hapendi pesa kwanini anajiweka kwenye walio na pesa?, Kutafuta tutafute za kwetu na kupewa tupewe vile vile ndo inanoga!