Kitimbwisi
Senior Member
- Feb 5, 2013
- 155
- 72
Kuna sabuni ya unga ilitamba sana miaka hio , ilijulikana kwa jina la tosi, sasa kila kitu kisafi kilihusishwa na sabuni hioDuh, hiyo ilinipiga chenga. Sikuwahi kuisikia kabisa.
Kuna sabuni ya unga ilitamba sana miaka hio , ilijulikana kwa jina la tosi, sasa kila kitu kisafi kilihusishwa na sabuni hioDuh, hiyo ilinipiga chenga. Sikuwahi kuisikia kabisa.
Kumbe ilikuwa hivyo? Poa sana.Kuna sabuni ya unga ilitamba sana miaka hio , ilijulikana kwa jina la tosi, sasa kila kitu kisafi kilihusishwa na sabuni hio
ulikuwa unachungulia mtihani wa mwenzioNimecheka sana kwa uzi huu. Kipindi nipo form 5 tulikuwa kwenye paper, sasa kukawa na swali la kuelezea maana ya Slang, jamaa mmoja acha adundike anavyojua yeye akatoa na mifano anasema, instead of saying "whatsap a person can say Wharrap"
Hamna aisee, ni ile paper zilivyorud katika kuangalia ulipokosea, sasa kufika eneo hilo jamaa akahamaki, si ndo akavuta attention ya watuulikuwa unachungulia mtihani wa mwenzio
Duh! Vijana wa sasa hawawezi kukuelewa kabisa kwa maneno haya, maana yametumika miaka ya sabini na themanini...Nakitoa …………. naondoka zangu
Nitakufua ………nitakupiga
Manzi …………… msichana
Mshikaji ……….. mpenzi wa jinsi tofauti (siku hizi ni rafiki tu wa kawaida)
Bonga ………….. tongoza (siku hizi ‘zungumza’)
Dingi ……………. baba
Charara ………... ishiwa fedha
Mambo du kinaa .. mambo safi/poa
……………….
Ni kweli kabisa mkuu deesmas_tzKwa kifupi slang ni misimu watu wengi wakimaskia MTU ameongea ligha hasa kiingereza kwa lafudhi flan yenye radha husema jamaa anapiga slang lakin kumbe slang haiko katika lafudhi (accent) Bali ni kimisamiati zaidi