Slaa ndani ya chuo kikuu cha ardhi!

Slaa ndani ya chuo kikuu cha ardhi!

Tolowski

Senior Member
Joined
Apr 28, 2011
Posts
122
Reaction score
20
Wazee dr.slaa kesho atakuwepo mitaa ya skanska hall(sorry kama nimekosea spelling),tegeta road akizindua chadema students organisation(chaso) tawi la ardhi university! Usafiri utakuwepo chuoni kuanzia saa 2 asubuhi! Karibuni, me ntaenda ili kuiwakilisha ardhi kimapambano and nione kama slaa anaweza kunishawishi ili nijiunge naye majeshi! Hadi wakati huu sipo upande wowote kichama tz
 
Wazee dr.slaa kesho atakuwepo mitaa ya skanska hall(sorry kama nimekosea spelling),tegeta road akizindua chadema students organisation(chaso) tawi la ardhi university! Usafiri utakuwepo chuoni kuanzia saa 2 asubuhi! Karibuni, me ntaenda ili kuiwakilisha ardhi kimapambano and nione kama slaa anaweza kunishawishi ili nijiunge naye majeshi! Hadi wakati huu sipo upande wowote kichama tz

Ningependa tu kujuwa jinsia yako, kuhusu swala la kwenda nakushauri usiende maana kama umeshindwa kumuelewa miaka yote 15 sidhani kama unaweza kumuelewa au kutomuelewa kwa masaa mache atakayoyatumia hapo chuoni.
 
msituangushe nyie vijana wa archi.
hivi ramani mnazochoraga zinafanyiwaga kazi? hivi nyinyi ndio mlichora ramani ya manzese? nyie kweli ni vichwa
 
msituangushe nyie vijana wa archi.
hivi ramani mnazochoraga zinafanyiwaga kazi? hivi nyinyi ndio mlichora ramani ya manzese? nyie kweli ni vichwa

Ahaaaaaa! Hapo kwenye ramani ya manzese umenifanya jioni hii nicheke sana!
 
Wazee dr.slaa kesho atakuwepo mitaa ya skanska hall(sorry kama nimekosea spelling),tegeta road akizindua chadema students organisation(chaso) tawi la ardhi university! Usafiri utakuwepo chuoni kuanzia saa 2 asubuhi! Karibuni, me ntaenda ili kuiwakilisha ardhi kimapambano and nione kama slaa anaweza kunishawishi ili nijiunge naye majeshi! Hadi wakati huu sipo upande wowote kichama tz
Kama wasomi wengi wanamwelewa Dr. Slaa inakuwaje mzee mpaka leo bado unasisita? Inaonyesha wewe unashawishika hata kwa fedha maana hauna maumivu kabisa na shida za hii nchi. Hata kama siyo Dr. Slaa, kama msomi uliyeelewa nchi hii inavyoenda, unahitaji kuunga mkono upinnzani dhidi ya udhalimu utawala uliopo.
Rudi moyoni mwako ufikirie vizuri maana wasomi ndo tunaowategemea kwenye upinzani na wajinga ndo mtaji wa magamba.
 
Wazee dr.slaa kesho atakuwepo mitaa ya skanska hall(sorry kama nimekosea spelling),tegeta road akizindua chadema students organisation(chaso) tawi la ardhi university! Usafiri utakuwepo chuoni kuanzia saa 2 asubuhi! Karibuni, me ntaenda ili kuiwakilisha ardhi kimapambano and nione kama slaa anaweza kunishawishi ili nijiunge naye majeshi! Hadi wakati huu sipo upande wowote kichama tz

Ili mradi usiwe na magamba hadi machoni na masikioni maana unahitajika kuvua gamba kwanza.
 
Mzee unamkumbuka yule aliyemwambia yesu sema neno 1 tu mwanangu atapona! Miaka 15 au maneno mengi ya slaa siyo ishu,may be neno lake 1 tu laweza kunigeuza 2morrow,may be! huwezi jua
Kama wasomi wengi wanamwelewa Dr. Slaa inakuwaje mzee mpaka leo bado unasisita? Inaonyesha wewe unashawishika hata kwa fedha maana hauna maumivu kabisa na shida za hii nchi. Hata kama siyo Dr. Slaa, kama msomi uliyeelewa nchi hii inavyoenda, unahitaji kuunga mkono upinnzani dhidi ya udhalimu utawala uliopo.
Rudi moyoni mwako ufikirie vizuri maana wasomi ndo tunaowategemea kwenye upinzani na wajinga ndo mtaji wa magamba.
 
Ramani zetu zinapigwa chini!zinachukuliwa na wajerumani,wahindi...nk!wanaoelewa maana ya utaalamu
msituangushe nyie vijana wa archi.
hivi ramani mnazochoraga zinafanyiwaga kazi? hivi nyinyi ndio mlichora ramani ya manzese? nyie kweli ni vichwa
 
Hii habari imeletwa na Tolowski, please do read it with 'care'
 
Me ni he! Huo ushauri wako siyo! Hujui kuwa imani inakuja kwa kusikia? Haijalish umesikia mara ngapi, but imani inakuja taratibu! Si wengine ni akina tomaso
Ningependa tu kujuwa jinsia yako, kuhusu swala la kwenda nakushauri usiende maana kama umeshindwa kumuelewa miaka yote 15 sidhani kama unaweza kumuelewa au kutomuelewa kwa masaa mache atakayoyatumia hapo chuoni.
 
Hivi kale katabia ka kuwanyima chadema halls ndani ya chuo kalikokuwa udsm kamehamia uclas pia?
 
Hakuna kitu kinachoitwa "sina upande wowote",who did u vote for in the last General Elections? Or u are among those people who didnt see a logic behind going for Voting?
 
Wazee dr.slaa kesho atakuwepo mitaa ya skanska hall(sorry kama nimekosea spelling),tegeta road akizindua chadema students organisation(chaso) tawi la ardhi university! Usafiri utakuwepo chuoni kuanzia saa 2 asubuhi! Karibuni, me ntaenda ili kuiwakilisha ardhi kimapambano and nione kama slaa anaweza kunishawishi ili nijiunge naye majeshi! Hadi wakati huu sipo upande wowote kichama tz
Fanya uende kamskilize naimani hutojutia uamuzi wako utakaouchukua huyo kesho kikubwa nenda ukiwa huna mashaka hata kidogo
 
Urais nilimpa slaa,ubunge nilimpa mnyika,and udiwani nilimpa jamaa wa chadema ingawa hadi leo hii simfahamu!
Hakuna kitu kinachoitwa "sina upande wowote",who did u vote for in the last General Elections? Or u are among those people who didnt see a logic behind going for Voting?
 
Ramani zetu zinapigwa chini!zinachukuliwa na wajerumani,wahindi...nk!wanaoelewa maana ya utaalamu

kumbe udhalimu uliopo unaujua alaf unaendelea kutomuelewa daktari!? Sasa unataka kumpa raman ajaribu kuipeleka ipite ndo ukubali au? Naumia sana nkiona ma graduate wanatembea na michoro na picha za mabox ya sanamu ya gorofa mjini. Au ata pale ubungo! Tolo,mkubali dokta japo ata kama tomaso! All the best wanaArdhi.
 
Nakushauri usikose kufika, ukombozi wa watoto wako upo mikononi mwako sasa. Kumbuka upande wa pili fikira zao zimekuwa mgando, na mtaji wanaotumia ni ujinga wetu wanaoendelea kuupanda kwa kasi zaidi. Haingii akilini kuhamasisha watu kujenga shule, kisha ukagoma kupeleka waalim au ukapeleka kisha ukawakopa.
Taarifa zilizopo, waalim wanaidai serikali mishahara, malupulupu ya safari nk, fedha zisizozidi 8 bln, lakini majuzi wametumia 45 bln za ununuzi wa mafuta ya IPTL kwa ajili ya umeme, na nusu ya hizo fedha zimetafunwa na wajanja. Zaidi, hiyo bln 45 haijajulikana imetoka vote ipi, na haikuidhinishwa na bunge.
Mwanga upo kuangaza, na siyo kulazimisha kuangaza tafakari.
 
Back
Top Bottom