Slaa na Zitto jukwaa moja?

Slaa na Zitto jukwaa moja?

Siasa bana kweli mchezo mchafu, huyu slaa si ndie aliyechochea zito afukuzwe chadema kwamba ni yuda leo hii ati wako pa1, huyu mzee si alisema siasa basi,

Chadema walimsema Lowasa ni fisadi lakini leo? Sumaye hakuwa anampinga Lowasa lakini leo?
 
Nimeisikia kwenye kipindi cha magazetini sasa hivi.
Wanaopnaga hili wanajua impact yake?
Wamewaza vyema kweli?
Plan A ya matusi,provocation yameshindwa mpaka sasa.
Jambo moja ni wazi,kuna kiu ya mabadiliko.

Walishachelewa wote ni wasaliti tu hawana jipya kura yngu kwa lowasa tu.
 
Kumbe ndiyo aliyokuwa anasema Mzee Mwanakijiji eti tusubiri tarehe 5/10/2015! Watu kweli wazito kuukubali ukweli kwamba muda wa mabadiliko ukifika umefika. Wasije wakashangaa moto wa mabadiliko utakapowalipukia zaidi.

Mzee mwenzangu, kinyume na watu wengine wanavyofikiria tarehe tano niliichagua kwa mambo yangu mwenyewe bila ku coordinate na mtu mwingine yeyote. Sijui Slaa anafanya au kupanga nini kama vile nisivyojua watu wengine wanafanya nini. Napanga na kufanya mambo yangu kwa mipangilio yangu mwenyewe. Hilo la Slaa na ACT na miye nimelisoma leo asubuhi nilivyoamka. Sijui ukweli wake au usahihi wake.

MMM
 
Mzee mwenzangu, kinyume na watu wengine wanavyofikiria tarehe tano niliichagua kwa mambo yangu mwenyewe bila ku coordinate na mtu mwingine yeyote. Sijui Slaa anafanya au kupanga nini kama vile nisivyojua watu wengine wanafanya nini. Napanga na kufanya mambo yangu kwa mipangilio yangu mwenyewe. Hilo la Slaa na ACT na miye nimelisoma leo asubuhi nilivyoamka. Sijui ukweli wake au usahihi wake.

MMM

Wewe Mzee Mwanakijiji hivi tunaweza vipi kukutofautisha na @Dr Slaa? mpango wenu umebuma vibaya na haya yanatokea kwa sababu Mungu hapendi huu ufyedh.uri mnaotaka kuwafanyia watanzania ambao wana ari ya Mabadiliko na mkumbuke tu kwamba mpaka muda huu watu tayari tuna maamuzi yetu kichwani
 
Last edited by a moderator:
Nimesikia kwenye gazeti la Rai eti anamsifu Slaa kwamba ni mtu safi wananchi wamuamini nikaduwaa ccm imeanza kumsifu Slaa na kumkashifu Kingunge maajabu ya mwaka
 
Nimesikia kwenye gazeti la Rai eti anamsifu Slaa kwamba ni mtu safi wananchi wamuamini nikaduwaa ccm imeanza kumsifu Slaa na kumkashifu Kingunge maajabu ya mwaka

Hicho kitu siyo cha kushangaa rafiki,ikiwa hvyo unapaswa kushangaa kwa nini EL yupo Ukawa?ukumbuke maneno ya viongozi wako kipindi kifupi cha nyuma na wamekuja kuwabadilishia upepo mmelala nao na mnaona mko sawa!
 
Mzee mwenzangu, kinyume na watu wengine wanavyofikiria tarehe tano niliichagua kwa mambo yangu mwenyewe bila ku coordinate na mtu mwingine yeyote. Sijui Slaa anafanya au kupanga nini kama vile nisivyojua watu wengine wanafanya nini. Napanga na kufanya mambo yangu kwa mipangilio yangu mwenyewe. Hilo la Slaa na ACT na miye nimelisoma leo asubuhi nilivyoamka. Sijui ukweli wake au usahihi wake.

MMM

Acha ubabaishaji ww mpogoro. Umekuwa ukiaminika kumbe nawe ni mfuasi wa watu!
 
Watz wengi wana hasira mno na ccm jana nilipanda gari toka mby kwenda kyl kila mtu anaongea kwa hasira kuhusu ccm kasoro dada mmoja alikaa kimya huku akigeuzageuza macho kama kinyonga bila shaka alikuwa ni mmoja wa wafidika na mfumo uliopo na alikuwa na maumivu moyoni
 
Back
Top Bottom