unao ushahidi wa unachokizungumza?Lipumba alikula dola million 'moja na Slaa yeye alipewa dola million 1.5 pamoja na kununuliwa Nyumba huko nje, pesa zote walipewa na Membe toka kwenye yale mapesa ya marehemu Gadafi. Sasa yupo busy anauhangaikia uwazi mkuu anajua Magufuli atamlipa fadhila kutokana na kazi kubwa ya fitna aliyofanya ikiwemo kuleta Utitiri wa waganga wa kienyeji toka kila kona za Dunia.
Ni kweli hata hivyo uwezekano wa uchaguzi kurudiwa ni mdogo sana na ukirudiwa pia maalim anaweza kushinda tu