pepsin
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 3,486
- 6,172
Kwa namna CHADEMA ilivyokuwa 2009-10 na CHADEMA ya 2014-15 kusema kwamba ati Dr Slaa alikuwa anahujumu upinzani na ndio maana wakapata wabunge wa majimbo 24 ilhali sasa wamepata 35 ni DHAMBI kubwa sana.Kama uhujumu wa Dr Slaa umefanyika kwa upinzani sidhani kama ni kabla ya mwaka huu baada ya kuondoka CHADEMA.
Tumwogope Mungu pamoja na yote yaliyotokea.
Tumwogope Mungu pamoja na yote yaliyotokea.