Slaa na Lipumba walikuwa ni vibaraka

Slaa na Lipumba walikuwa ni vibaraka

Jiandae mwenyewe wenzako wanaponda pesa huko nje wewe unahangaika na mahakamani

Mkuu ukisikia washinda Lumumba ndio hao na wanaombea mvua isinyeshe
 
Mkuu inawezekana huyo January anawatumia pia masangoma ili aukwae u pm?

Ma-Sangoma kibao ya kigeni bado yapo Nchini watayatumia kusaka nafasi muhimu, cheo cha Uwazi mkuu ni cha Membe Huyo January labda atapewa Wizara ya Nishati kwenye Ulaji huku mwigulu akiwa Waziri kamili wa fedha,
 
Vibaraka ni Lowassa, Mwapachu, Lau Masha, Kingunge, Guninita, Mr. Zero, Mgeja na makapi mengine yaliyokuja kuwahujumu. Amka!
 
Ma-Sangoma kibao ya kigeni bado yapo Nchini watayatumia kusaka nafasi muhimu, cheo cha Uwazi mkuu ni cha Membe Huyo January labda atapewa Wizara ya Nishati kwenye Ulaji huku mwigulu akiwa Waziri kamili wa fedha,

Duuu kazi bado ni mbichi kwa viongozi wetu wa dini zoote
 
Sasa ni mda wa kulipana fadhila wale wote waliosaidia kampeni watalipwa fadhila huku Membe ambaye amesaidia kwa 100% kuidhoofisha Ukawa atazawadiwa cheo cha Uwaziri mkuu.
 
Sasa ni mda wa kulipana fadhila wale wote waliosaidia kampeni watalipwa fadhila huku Membe ambaye amesaidia kwa 100% kuidhoofisha Ukawa atazawadiwa cheo cha Uwaziri mkuu.

Ningeshauri Membe apewe ubalozi wa Tanzania nchini libya
 
Ningeshauri Membe apewe ubalozi wa Tanzania nchini libya

Hawezi kukubali hata siku moja maana anajua walibya watamteketeza siku hiyo hiyo ambayo atafika Libya, wana hasira sana na mali na mapesa ya marehemu Gadafi ambayo Membe kayachukukichia mwenyewe na aliyatumia sana kuwahujumu Ukawa kwa 100%.
 
Watu wakitoa mawaxo yao mbawatishia kuwafunga mahakaman.sasa kama hamuhitaji challenges ya mpo dunian???dunia ni challenges daily
 
Lipumba!! hapana labda Slaa, kwani Profesa alishiriki maamuzi yote na mwishoni kwa kuwa ni yeye pekee aliyekuwa na maono tofauti baadae hakuwa na jinsi zaidi ya kujiondoa kwenye uongozi,Kama ni kweli alikuwa na dhamira ya usaliti kwa ushawishi wake nadhani hata CUF wasingeshiriki UKAWA,Na la zaidi pamoja na kuyajua lakini hakuwahi kusema madhaifu ya mgombea urais wa ukawa hadharani.The best economic professor in TANZANIA/AFRICA.
 
Mimi ni mkulima nina mashamba ya kutosha sijui wewe unayeshinda Lumumba kufuta vumbi viatu vya wakubwa wako

Unalima saa ngapi kutwa kucha umepakata laptop kungojea kupiga hela za mamvi tu! huna ishu kwendaaaa!
 
Lipumba!! hapana labda Slaa, kwani Profesa alishiriki maamuzi yote na mwishoni kwa kuwa ni yeye pekee aliyekuwa na maono tofauti baadae hakuwa na jinsi zaidi ya kujiondoa kwenye uongozi,Kama ni kweli alikuwa na dhamira ya usaliti kwa ushawishi wake nadhani hata CUF wasingeshiriki UKAWA,Na la zaidi pamoja na kuyajua lakini hakuwahi kusema madhaifu ya mgombea urais wa ukawa hadharani.The best economic professor in TANZANIA/AFRICA.

Lkn pamoja na yoote sasa hivi hana nafasi tena cuf/ukawa
 
Lipumba!! hapana labda Slaa, kwani Profesa alishiriki maamuzi yote na mwishoni kwa kuwa ni yeye pekee aliyekuwa na maono tofauti baadae hakuwa na jinsi zaidi ya kujiondoa kwenye uongozi,Kama ni kweli alikuwa na dhamira ya usaliti kwa ushawishi wake nadhani hata CUF wasingeshiriki UKAWA,Na la zaidi pamoja na kuyajua lakini hakuwahi kusema madhaifu ya mgombea urais wa ukawa hadharani.The best economic professor in TANZANIA/AFRICA.

Lipumba alivuta chake dola million moja akajikausha sasa ile pesa kakaribia kuimaliza kwa michepuko ndiyo maana unamwona kaanza kuibuka tena hasa alipoona huenda Zanzibar ikawa chini ya Serikali ya CUF.
 
Back
Top Bottom