Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 123,250
- 98,243
Viongozi hao wawili naamini walikuwa wanatumika kuvidhoofisha vyama vya CHADEMA na CUF ndio maana kila mwaka uchaguzi wapinzani walikuwa wanaishia 20% lkn leo hawapo CUF imepata zaidi ya wabunge 20+ na CHADEMA zaidi ya 36+.
Naamini hawa jamaa walikuwa ni mawakala na hawafai kabisa kukaribishwa tena ndani ya upinzani.
Naamini hawa jamaa walikuwa ni mawakala na hawafai kabisa kukaribishwa tena ndani ya upinzani.