Slaa na Lipumba walikuwa ni vibaraka

Slaa na Lipumba walikuwa ni vibaraka

Mmawia

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
123,250
Reaction score
98,243
Viongozi hao wawili naamini walikuwa wanatumika kuvidhoofisha vyama vya CHADEMA na CUF ndio maana kila mwaka uchaguzi wapinzani walikuwa wanaishia 20% lkn leo hawapo CUF imepata zaidi ya wabunge 20+ na CHADEMA zaidi ya 36+.

Naamini hawa jamaa walikuwa ni mawakala na hawafai kabisa kukaribishwa tena ndani ya upinzani.
 
hakuna marefu yasiyo na ncha wao wamefanya kwa nafasi na uwezo wao kama walikuwa wahujumu mungu anajua na kama walikuwa wanafanya kwa upeo wao na ndiyo walikuwa wanaishia hapo mungu anajua pia
mungu awabariki sana wakae ha hiyo laana ya usaliti walioifanya mwishoni I pass kwa vizazi vyao vyoteeeeeeeeeeee
 
hakuna marefu yasiyo na ncha wao wamefanya kwa nafasi na uwezo wao kama walikuwa wahujumu mungu anajua na kama walikuwa wanafanya kwa upeo wao na ndiyo walikuwa wanaishia hapo mungu anajua pia
mungu awabariki sana wakae ha hiyo laana ya usaliti walioifanya mwishoni I pass kwa vizazi vyao vyoteeeeeeeeeeee

Ameeeennn Ameeeeeennnnn
 
mada yako haina hata maana na lipumba kurudi cuf seifu kamthibitishia anavunja ukawa

Ukawa ukawa ukawa ukawa ukawa ukawa ukawa ukawa ukawa ukawa ukawa
Kiboko ya ccm
Kiboko ya ccm
Kiboko ya ccm
Kiboki ya ccm
 
Viongozi hao wawili naamini walikuwa wanatumika kuvidhoofisha vyama vya cdm na cuf ndio maana kila mwaka uchaguzi wapinzani walikuwa wanaishia 20% lkn leo hawapo cuf imepata zaidi ya wabunge 20+ na cdm zaidi ya 36+ naamini hawa jamaa walikuwa ni mawakala na hawafai kabisa kukaribishwa tena ndani ya upinzani.

Lipumba alikula dola million 'moja na Slaa yeye alipewa dola million 1.5 pamoja na kununuliwa Nyumba huko nje, pesa zote walipewa na Membe toka kwenye yale mapesa ya marehemu Gadafi. Sasa yupo busy anauhangaikia uwazi mkuu anajua Magufuli atamlipa fadhila kutokana na kazi kubwa ya fitna aliyofanya ikiwemo kuleta Utitiri wa waganga wa kienyeji toka kila kona za Dunia.
 
Lipumba alikula dola million 'moja na Slaa yeye alipewa dola million 1.5 pamoja na kununuliwa Nyumba huko nje, pesa zote walipewa na Membe toka kwenye yale mapesa ya marehemu Gadafi. Sasa yupo busy anauhangaikia uwazi mkuu anajua Magufuli atamlipa fadhila kutokana na kazi kubwa ya fitna aliyofanya ikiwemo kuleta Utitiri wa waganga wa kienyeji toka kila kona za Dunia.

Asante sana mkuu kwa kutupatia hiyo news lkn naamini laana ya usaliti itaendelea kuwaandama maishani mwao
 
Hivi ni kwanini wana ccm hamuipendi ukawa?
 
Tatizo umekurupuka bila kufanya hesabu za darasa la tatu, pole.
 
Jiandae kwenda mahakamani kuthibitisha haya.wiki ijayo tunakupeleka. Sheria ya mtandao kazini!

lipumba alikula dola million 'moja na slaa yeye alipewa dola million 1.5 pamoja na kununuliwa nyumba huko nje, pesa zote walipewa na membe toka kwenye yale mapesa ya marehemu gadafi. Sasa yupo busy anauhangaikia uwazi mkuu anajua magufuli atamlipa fadhila kutokana na kazi kubwa ya fitna aliyofanya ikiwemo kuleta utitiri wa waganga wa kienyeji toka kila kona za dunia.
 
Uloi nga mâché68;14526901 said:
Jiandae kwenda mahakamani kuthibitisha haya.wiki ijayo tunakupeleka. Sheria ya mtandao kazini!

Jiandae mwenyewe wenzako wanaponda pesa huko nje wewe unahangaika na mahakamani
 
Sasa hivi January na mwigulu wamemwomba Membe awapelekee ule Utitiri wa waganga wake wa kienyeji ili autumie kufukia ufisadi wa pesa za kampeni walizozitumia kienyeji kuwapa wasanii wa bongo muvi na wengineo kisha kuandika Mahesabu makubwa kinyume na hali harisi, January yupo busy anahaha maana anaogopa kudaiwa ile billion 1.7 aliyopiga katikati ya kampeni na mapesa mengine waliyotumia kwenye visingizio feki tena vingine kumbe Membe alitumia pesa za Gadafi lakini akina January nao wameorodhesha pesa ya chama ilitumika, kampeni hii imemalizika lakini imewaacha wajanja wachache wakiwa matajiri wakubwa kupitia pesa za kampeni, sasa wapo busy kwa Sangoma kutuliza mizuka ya Magufuli.

Mkuu inawezekana huyo January anawatumia pia masangoma ili aukwae u pm?
 
Back
Top Bottom