slaa kutogombea tena?

slaa kutogombea tena?

Nimapema sana kufanya kusema lakin jinsi upepo unavyokwenda ninaona hatakua na ubavu hata mbawa za kuruka
kusema sio kutenda na kutenda kunahitaji mipango ambayo CDM kwa sasa hatuna
 
Katiba ya CDM inapatikana online. Itafute ujisomee mwenyewe.
 
uko sahihi , 1995 CDM hakikusimamisha mgombea wa urais sababu MH MTEI na MH BOB MAKANI kila mmoja alitaka ateuliwe yy wajumbe wakavutana saana Mwisho hawakuteuwa mgombea. 2000 waliingia baridi 2005 mh MBOWE akajiteua akashindwa vibaya. 2010 CDM ikamteua Dr SLAA akaangushwa na MH JK hivyo 2015 mh ZUBEIR
 
Wana wa Nchi,

Natanguliza Shukrani kwa Mola wangu,
Watanzania wenzangu, kimsing ni miaka miwili tu imepita tangu tumalize uchaguzi mkuu wa mwaka 2010, na bado tuna miaka mitatu mbele kabla ya uchaguzi mwingine mwaka 2015, ingawa ni mapema sana kuanza kuzungumzia nani atakuwa rais au nani atagombea kwa chama gani lakini Watanzania wanayo haki ya kuanza kupima na kuchambua nani anaweza kuongoza taifa letu, hivyo ni rai yangu kwamba tukiwa tunafikiria nani atakuwa rais wa Tanzania pia tuwe tunafanya kazi ili kuweza kukuza kipato cha mtu mmoja mmoja na Taifa kwa ujumla,
kimsingi Dr Slaa anaweza kugombea tena Urais kwa tiketi ya Chadema kwa kuwa hakuna kifungu chochote cha katiba ya chadema kinachomzuia kugombea Urasi kwa mara nyingine,,nimeisoma sana Katiba ya Chadema lakini sijapata kuona kifungu anacho kizungumzia ndugu Lukme, kwa maana hiyo napenda kuwatoa hofu Wanachadema na Watanzania kwamba hakuna kifungu chochote ambacho kinamzuia Dr Slaa kugombea tena Urais na pia ni haki yake ya Kikatiba. aidha kugombea au kutokugombea ni maamuzi binafsi ya mwanachama wa Chadema


Asanteni Wana Wa Nchi.

Kamanda Magoma Jr Magoma
 
Wewe endelea kuota ndoto za mchana tu, patachimbika cdm 2015 rais lazima awe ZZK



Hahaha unafikili ukifanya hivyo ndiyo utatengeneza mgogoro ndani ya CDM? wapi bwana unapoteza muda wako tu! jamaa wako imara na tupo tusio na chama lakini tunamuunga mkono maana hamu'gunyi maneno! tunataka matendo basi
 
Back
Top Bottom