slaa aongea na manavyuo

mpenda CHADEMA

New Member
Jun 7, 2011
2
1
hatimaye Dr slaa aongea na wanavyuo hasa DUCE.alzungunzia hasa taifa atakulokuja kuliongza lnaitaji crititical thinker wnackilza k2 na kukifanyia utifiti na co kupelekwa kma chuo kikuu cha udom.Pia DR slaa amesema wazir Ngeleja ajiuzur kw wazara kushndwa kukomasha mgao ambao unafanya nch kuwa uchmi mbovu na kusabsa wnanch kupata hasara.
 
Sasa hata Dr (Phd) akipumua tutaambiwa. Kazi ya siasa ni kuongea na kukutana na watu sasa humu mbona kunageuka kama news letter ya Chadema tena ambayo haichagui habari za kutuambia. These trivialities must not be given a chance to last.
 
Sasa hata Dr (Phd) akipumua tutaambiwa. Kazi ya siasa ni kuongea na kukutana na watu sasa humu mbona kunageuka kama news letter ya Chadema tena ambayo haichagui habari za kutuambia. These trivialities must not be given a chance to last.

should not be given chance to you and fellow country haters. We need corruption free generation. Whoever buids that we shall acknowlege. Congrats dr Slaa. If nominated by cdm 2015 count my vote dr slaa.
 
Sasa hata Dr (Phd) akipumua tutaambiwa. Kazi ya siasa ni kuongea na kukutana na watu sasa humu mbona kunageuka kama news letter ya Chadema tena ambayo haichagui habari za kutuambia. These trivialities must not be given a chance to last.

mbona mkwele akibembea Jamaica tunaonyeshwa na picha?
 
Sasa hata Dr (Phd) akipumua tutaambiwa. Kazi ya siasa ni kuongea na kukutana na watu sasa humu mbona kunageuka kama news letter ya Chadema tena ambayo haichagui habari za kutuambia. These trivialities must not be given a chance to last.

we ni moja ya watu wasiotakia mema nchii hii na tuna watu kadhaa kama wewe ndio maana nchii hii inakuwa ngumu kuendelea
 
Sasa hata Dr (Phd) akipumua tutaambiwa. Kazi ya siasa ni kuongea na kukutana na watu sasa humu mbona kunageuka kama news letter ya Chadema tena ambayo haichagui habari za kutuambia. These trivialities must not be given a chance to last.

Ukitaka uzomewe, mseme Dr. Slaa vibaya! Usimtazame Dr. Slaa kama mwana CHADEMA bali kama Mtanzania anayeipenda nchi yake kwa dhati! Pole!
 
Sasa hata Dr (Phd) akipumua tutaambiwa. Kazi ya siasa ni kuongea na kukutana na watu sasa humu mbona kunageuka kama news letter ya Chadema tena ambayo haichagui habari za kutuambia. These trivialities must not be given a chance to last.

ulitaka tumuweke nani? mjomba wako au? kila mtu ana haki huku we vp?
 
Dr slaa mioyoni mwetu,kikwete mabangoni.nchi haina rais.
I like your comment man!! Kuna mtu aliwahi kusema hakuna nchi rahisi kuongoza kama Tanzania. Akaenda mbali zaidi na kusema hata akiwekwa ng'ombe kuongoza, nchi itakwenda tu. Maana atakuwa akipiga kelele "moooooo" walinzi wake wanatafsiri kwa kadri wanavyojua wao na kutoa maagizo ya utekelezaji. Kikwete ni kama kivuli tu pale ikulu, ni sawa na tusingekuwa na rais tu, maana uwepo wake ni mzigo kwa taifa. Anatuongezea gharama za magari ya misafara yake na nauli za kulipia ndege anapokwenda nje ya nchi.
 
Sasa hata Dr (Phd) akipumua tutaambiwa. Kazi ya siasa ni kuongea na kukutana na watu sasa humu mbona kunageuka kama news letter ya Chadema tena ambayo haichagui habari za kutuambia. These trivialities must not be given a chance to last.
Majitu mengine bana! The fact kuwa yamepewa nafasi kuandika basi yanaandika utumbo tu. JF ni jukwaa lahabari na siasa na mambo mengi tu. Kama hupendi politics ingia kwenye issues zingine, nafasi za kazi, tenda etc. Ukibofya habari za siasa this is what you will get. Sasa huna haja ya kulalamika.
 
Sasa hata Dr (Phd) akipumua tutaambiwa. Kazi ya siasa ni kuongea na kukutana na watu sasa humu mbona kunageuka kama news letter ya Chadema tena ambayo haichagui habari za kutuambia. These trivialities must not be given a chance to last.
Huyu ndo muarobaini wa matatizo ya watanzania. Mkwer badala ya kuwasaidia wa-tz yeye ni kuchekacheka na kusafiri nje
 
Dogo, Sema a loser Dk Slaa, moyoni kwangu si mioyoni mwetu! Unaleta maneno ya Kitchen Party hapa
wewe nungayembe hujawahi fanyiwa kitchen paty, maneno ya k/paty umeyajuaje? kapige mswaki urudi jamvini.
 
Haya maoni yaheshimiwa kwa kuwa kila mtanzania ana uhuru wa kutoa mawazo yake soma katiba
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom