mpenda CHADEMA
New Member
- Jun 7, 2011
- 2
- 1
hatimaye Dr slaa aongea na wanavyuo hasa DUCE.alzungunzia hasa taifa atakulokuja kuliongza lnaitaji crititical thinker wnackilza k2 na kukifanyia utifiti na co kupelekwa kma chuo kikuu cha udom.Pia DR slaa amesema wazir Ngeleja ajiuzur kw wazara kushndwa kukomasha mgao ambao unafanya nch kuwa uchmi mbovu na kusabsa wnanch kupata hasara.