"Kama tunalipa
wabunge sitting
allowances, basi tulipe
walimu standing
allowance, polisi
standing allowance!"- Dr.Slaa
Unamaanisha hao polisi na walimu ndio walimkurupua au? Kisa nini hadi walimkurupusha?. Naamini Polisi wanaweza kufanya kitu chochote wanachoamliwa na CCM kufanya bila ya kujali madhara yake ya baadae kutokana na mfumo wenyewe wa utawala wa kuilinda CCM na serikali yake ya kifalme huku serikali ikinufaika na uelewa mdogo wa Polisi ambao wengi kuwa vilaza waliofeli masomo shuleni na kuamua kukimbilia katika kazi hiyo, wanaogopa wasipotekeleza matakwa ya Magamba wakiachishwa kazi hakuna pa kukimbilia mtaani na failures zao.Anawakumbuka walivyomkurupuwa alipojificha kwenye maspika?
ccm kupitia JK alisema pale diamond siku anahutubia wazee wa dar-sizihitaji hizo kura zenu(waalimu,mapolisi,manesi) kura zenu ni kama 400,000 tuu!!!
Unamaanisha hao polisi na walimu ndio walimkurupua au? Kisa nini hadi walimkurupusha?. Naamini Polisi wanaweza kufanya kitu chochote wanachoamliwa na CCM kufanya bila ya kujali madhara yake ya baadae kutokana na mfumo wenyewe wa utawala wa kuilinda CCM na serikali yake ya kifalme huku serikali ikinufaika na uelewa mdogo wa Polisi ambao wengi kuwa vilaza waliofeli masomo shuleni na kuamua kukimbilia katika kazi hiyo, wanaogopa wasipotekeleza matakwa ya Magamba wakiachishwa kazi hakuna pa kukimbilia mtaani na failures zao.
Nahisi JK alitamuka bila kufiki kuwa hao walimu na mapolisi ni watanzania ambao kwenye uchanguzi wataongeza kura!
JK anapeta mwaka wa saba sasa! unafikiri atagombea tena? sheria haimruhusu.
Kuna kila dalili ya kuchelewa kwa katiba mpya hivyo kuna uwezekano ifikapo 2015 muda wa kupiga kura ukasogezwa mbele kwa mwaka mmoja na kumfanya Kikwete apete tena kwa mwaka zaidi. Ukiwa hai utanikumbuka.
Naomba katiba mpya imruhusu kubaki madarakani kwa miaka 10 mingine.
JK anapeta mwaka wa saba sasa! unafikiri atagombea tena? sheria haimruhusu.
Kuna kila dalili ya kuchelewa kwa katiba mpya hivyo kuna uwezekano ifikapo 2015 muda wa kupiga kura ukasogezwa mbele kwa mwaka mmoja na kumfanya Kikwete apete tena kwa mwaka zaidi. Ukiwa hai utanikumbuka.
Naomba katiba mpya imruhusu kubaki madarakani kwa miaka 10 mingine.
JK anapeta mwaka wa saba sasa! unafikiri atagombea tena? sheria haimruhusu.
Kuna kila dalili ya kuchelewa kwa katiba mpya hivyo kuna uwezekano ifikapo 2015 muda wa kupiga kura ukasogezwa mbele kwa mwaka mmoja na kumfanya Kikwete apete tena kwa mwaka zaidi. Ukiwa hai utanikumbuka.
Naomba katiba mpya imruhusu kubaki madarakani kwa miaka 10 mingine.
JK anapeta mwaka wa saba sasa! unafikiri atagombea tena? sheria haimruhusu.
Kuna kila dalili ya kuchelewa kwa katiba mpya hivyo kuna uwezekano ifikapo 2015 muda wa kupiga kura ukasogezwa mbele kwa mwaka mmoja na kumfanya Kikwete apete tena kwa mwaka zaidi. Ukiwa hai utanikumbuka.
Naomba katiba mpya imruhusu kubaki madarakani kwa miaka 10 mingine.
Hii ni Old School Bana!!ccm kupitia JK alisema pale diamond siku anahutubia wazee wa dar-sizihitaji hizo kura zenu(waalimu,mapolisi,manesi) kura zenu ni kama 400,000 tuu!!!