Slaa anasema.....!

Bornvilla

JF-Expert Member
Feb 17, 2011
924
271
"Kama tunalipa
wabunge sitting
allowances, basi tulipe
walimu standing
allowance, polisi
standing allowance!"- Dr.Slaa
 
ccm kupitia JK alisema pale diamond siku anahutubia wazee wa dar-sizihitaji hizo kura zenu(waalimu,mapolisi,manesi) kura zenu ni kama 400,000 tuu!!!
 
Anawakumbuka walivyomkurupuwa alipojificha kwenye maspika?
Unamaanisha hao polisi na walimu ndio walimkurupua au? Kisa nini hadi walimkurupusha?. Naamini Polisi wanaweza kufanya kitu chochote wanachoamliwa na CCM kufanya bila ya kujali madhara yake ya baadae kutokana na mfumo wenyewe wa utawala wa kuilinda CCM na serikali yake ya kifalme huku serikali ikinufaika na uelewa mdogo wa Polisi ambao wengi kuwa vilaza waliofeli masomo shuleni na kuamua kukimbilia katika kazi hiyo, wanaogopa wasipotekeleza matakwa ya Magamba wakiachishwa kazi hakuna pa kukimbilia mtaani na failures zao.
 
ccm kupitia JK alisema pale diamond siku anahutubia wazee wa dar-sizihitaji hizo kura zenu(waalimu,mapolisi,manesi) kura zenu ni kama 400,000 tuu!!!

Nahisi JK alitamuka bila kufiki kuwa hao walimu na mapolisi ni watanzania ambao kwenye uchanguzi wataongeza kura!
 
Unamaanisha hao polisi na walimu ndio walimkurupua au? Kisa nini hadi walimkurupusha?. Naamini Polisi wanaweza kufanya kitu chochote wanachoamliwa na CCM kufanya bila ya kujali madhara yake ya baadae kutokana na mfumo wenyewe wa utawala wa kuilinda CCM na serikali yake ya kifalme huku serikali ikinufaika na uelewa mdogo wa Polisi ambao wengi kuwa vilaza waliofeli masomo shuleni na kuamua kukimbilia katika kazi hiyo, wanaogopa wasipotekeleza matakwa ya Magamba wakiachishwa kazi hakuna pa kukimbilia mtaani na failures zao.

Walipomkurupuwa ilikuwa wanaiga zile harakati za Egypt umesahau? au anakumbuka walipomtoa damu (or was it tomato sauce) mchumba bila kubaki na kovu wala jeraha? maigizo mengine yanakuwa "live". Kwi kwi kwi teh teh teh !
 
Nahisi JK alitamuka bila kufiki kuwa hao walimu na mapolisi ni watanzania ambao kwenye uchanguzi wataongeza kura!

JK anapeta mwaka wa saba sasa! unafikiri atagombea tena? sheria haimruhusu.

Kuna kila dalili ya kuchelewa kwa katiba mpya hivyo kuna uwezekano ifikapo 2015 muda wa kupiga kura ukasogezwa mbele kwa mwaka mmoja na kumfanya Kikwete apete tena kwa mwaka zaidi. Ukiwa hai utanikumbuka.

Naomba katiba mpya imruhusu kubaki madarakani kwa miaka 10 mingine.
 
JK anapeta mwaka wa saba sasa! unafikiri atagombea tena? sheria haimruhusu.

Kuna kila dalili ya kuchelewa kwa katiba mpya hivyo kuna uwezekano ifikapo 2015 muda wa kupiga kura ukasogezwa mbele kwa mwaka mmoja na kumfanya Kikwete apete tena kwa mwaka zaidi. Ukiwa hai utanikumbuka.

Naomba katiba mpya imruhusu kubaki madarakani kwa miaka 10 mingine.

ribosome
inaelekea unamkubali sana JK unaweza kueleza amefanya nini hadi aongezewe muda.
 
JK anapeta mwaka wa saba sasa! unafikiri atagombea tena? sheria haimruhusu.

Kuna kila dalili ya kuchelewa kwa katiba mpya hivyo kuna uwezekano ifikapo 2015 muda wa kupiga kura ukasogezwa mbele kwa mwaka mmoja na kumfanya Kikwete apete tena kwa mwaka zaidi. Ukiwa hai utanikumbuka.

Naomba katiba mpya imruhusu kubaki madarakani kwa miaka 10 mingine.

Mr.PUMBAMAN
 
JK anapeta mwaka wa saba sasa! unafikiri atagombea tena? sheria haimruhusu.

Kuna kila dalili ya kuchelewa kwa katiba mpya hivyo kuna uwezekano ifikapo 2015 muda wa kupiga kura ukasogezwa mbele kwa mwaka mmoja na kumfanya Kikwete apete tena kwa mwaka zaidi. Ukiwa hai utanikumbuka.

Naomba katiba mpya imruhusu kubaki madarakani kwa miaka 10 mingine.

kwa mchakato huu kufikia 2015 haiwizekani JK kuongezewa Mwaka uonikama ndoto.acha pumba Ribosome.
 
JK anapeta mwaka wa saba sasa! unafikiri atagombea tena? sheria haimruhusu.

Kuna kila dalili ya kuchelewa kwa katiba mpya hivyo kuna uwezekano ifikapo 2015 muda wa kupiga kura ukasogezwa mbele kwa mwaka mmoja na kumfanya Kikwete apete tena kwa mwaka zaidi. Ukiwa hai utanikumbuka.

Naomba katiba mpya imruhusu kubaki madarakani kwa miaka 10 mingine.

Tatizo la binadamu wote tuna hofu sana ya mabadiliko.
 
Back
Top Bottom