kcamp
JF-Expert Member
- Aug 31, 2014
- 8,526
- 8,029
Kama itakubal kwenda Visa nahis basi itaingia tu mpesa...kuna jamaa yangu aliwah withdrawal kutoka exness kwa MasterCard ya Voda,na pesa ikaingia na akatoa kweny mpesa.. nahis hata visa itakubalNaona withdraw via visa inapokea ila siko sure kama ya mpesa ikipokea utaweza ntu kuhihamishia kwenye mpesa ukaitoa
Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
lakini kama after exchange ndiyo TZS 200K hapo sawa inatoka hata kwa accounts za magumashi.. Ila tu asiitoe yote $100 atoe kwa mafungu...!