Siyo wanafunzi tu hata Wabunge ni watoro

Mgoyangi

Senior Member
Feb 6, 2008
184
9
Jamani hebu angalieni Bunge hususani wakati wa jioni muone viti jinsi vilivyo wazi, inatia aibu kuona wabunge wetu wanavyotoroka Bungeni, hatujamsikia Spika akilipigia kelele hili.

Tumewatuma wabunge wakazungumziematatizo yetu, lakini wao wanatubwaga. Kama wakati huu wanakuwa watoro ukubwani je walipokuwa watoto ilikuwaje shuleni
 
Tena jana jioni walikuwa wanajadili Wizara ambayo ndio imeajiri wapiga kura wao walio wengi: WAKULIMA. Bunge lilikuwa tupu kabisa walikuwepo wazee wachache waliochuma siku nyingi akina Mramba, Mungai, Shelukindo,...
 
Jamani hebu angalieni Bunge hususani wakati wa jioni muone viti jinsi vilivyo wazi, inatia aibu kuona wabunge wetu wanavyotoroka Bungeni, hatujamsikia Spika akilipigia kelele hili.

Tumewatuma wabunge wakazungumziematatizo yetu, lakini wao wanatubwaga. Kama wakati huu wanakuwa watoro ukubwani je walipokuwa watoto ilikuwaje shuleni

kuna baadhi ya baa huwa zinajaa,so ukichelewa unaweza hata simama japo mbunge, kwahiyo nini cha kufanya kuwahi, hata wakiweko bungeni kila kitu kinapita yaani hamna hata wizara inayowekewa ngumu, yaani wanasema hili jimboni sisi tujuwe mbunge wetu nae kasema.mungu yuko
 
Back
Top Bottom