Siyo sahihi kumuita Rais Samia "Mama"

Siyo sahihi kumuita Rais Samia "Mama"

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
25,169
Reaction score
48,451
Imezoeleka na kulazimishwa na CCM kwamba watanzania wamuite Rais wao "mama" badala ya "Mheshimiwa Rais" ama "Ndugu Rais".

Madhara ya kumwita Rais Mama ni pale anapoona kama vile anaowaongoza ni watoto wake na yeye ni mlezi katika misingi ya umama badala ya usimamizi wa serikali kama Rais anayeisimamia serikali kwa wakati husika.

Samia Hassan Suluhu ni Mheshimiwa Rais wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano Tanzania na wala siyo mama wa watanzania.
 
Mkuu
Hata jpm alikuwa Baba mbona hukupinga!?

Hata NYERERE BADO ni BABA wa Taifa hili,mbona hupingi!?

Na huyu Mama akiwa MAMA WA TAIFA Akifanikisha katiba mpya kupatikana utapinga!?

Hebu shiriki kibwagizo hiki;-

"Mzee warioba arudishwe kwenye kikosi kazi cha mkandala mchakato ukamilike"
 
Mkuu
Hata jpm alikuwa Baba mbona hukupinga!?

Hata NYERERE BADO ni BABA wa Taifa hili,mbona hupingi!?

Na huyu Mama akiwa MAMA WA TAIFA Akifanikisha katiba mpya kupatikana utapinga!?

Hebu shiriki kibwagizo hiki;-

"Mzee warioba arudishwe kwenye kikosi kazi cha mkandala mchakato ukamilike"
Magufuli alikuwa baba wa nini? Nyerere aliitwa baba kwa kuwa alipigania kuundwa kwa Taifa la watanzania. Samia anaitwa mama kwa aliyoyafanya ama kwa uanamke wake?
 
Mkuu

Hukuwaona k
Magufuli alikuwa baba wa ni nini? Nyerere aliitwa baba kwa kuwa alipigania kuundwa kwa Taifa la watanzania. Samia anaitwa mama kwa aliyoyafanya ama kwa uanamke wake?
kina Mama barabarani wakimwita "Magufuli baba"!!!

Ni baba coz kea umri wake anauwezo wa KUZAA kijana mwenye Miaka thelathini na kitu kama Mimi!!

"Mzee Warioba arudishwe kwenye kikosi kazi cha mkandala mchakato ukamilike"
 
Mkuu
Hata jpm alikuwa Baba mbona hukupinga!?

Hata NYERERE BADO ni BABA wa Taifa hili,mbona hupingi!?

Na huyu Mama akiwa MAMA WA TAIFA Akifanikisha katiba mpya kupatikana utapinga!?

Hebu shiriki kibwagizo hiki;-

"Mzee warioba arudishwe kwenye kikosi kazi cha mkandala mchakato ukamilike"
Sidhani kama umemuelewa.
 
Mkuu

Hukuwaona k
kina Mama barabarani wakimwita "Magufuli baba"!!!

Ni baba coz kea umri wake anauwezo wa KUZAA kijana mwenye Miaka thelathini na kitu kama Mimi!!

"Mzee Warioba arudishwe kwenye kikosi kazi cha mkandala mchakato ukamilike"
Kwa hivyo na vibabu vinavyomuita Samia Hassan Suluhu Mama badala ya Rais??
 
Tangu hapo hiyo 'mama' inatumika kumdhoofisha na si kumheshimisha.
Asubiri agombee akishinda kwa halali, ataitwa tu rais. Ila kwa sasa ni mama yetu!
Kwa sasa nchi haina rais, ina mama na watoto wengine ni wa kambo ndio maana hata wakilalamika kuhusu tozo hakuna anayyejali!
 
Tangu hapo hiyo 'mama' inatumika kumdhoofisha na si kumheshimisha.
Asubiri agombee akishinda kwa halali, ataitwa tu rais. Ila kwa sasa ni mama yetu!
Umeonaa eenh!!?

Yeye anadhani anaheshimishwa kumbe wenzake kina johnthebaptist wanamla kisogo!!

Alipomwita Albert Chalamila "mwanangu" nikaona tayari kanasa kwenye mitego ya wana CCM wasiomtakia kheri.
 
Back
Top Bottom