Sifi Leo
Platinum Member
- Mar 30, 2012
- 5,939
- 10,823
Nimeshangazwa na mabadiliko ya mgeni rasimi katika kilele cha Mwenge wa uhuru, na kuazimisha miaka 17, y kifo cha Mwalimu hapo awali tulijulishwa kuwa mgen rasimi atakuwa MAGUFULI SASA leo tena ghafla eti mgeni rasmi atakuwa Dr sheini, kwa nini amegaili? je haoni umuhimu wasiku ya kesho kwake? je haoni umuhimu wa kuazimisha miaka 17 ya kifo cha baba wa taifa?