kuishutumu serikali kuwa kwa nini haikutoa taarifa juu ya kushikiriwa kwa ndege yetu kuko Canada siyo sahihi kabisa kwa sababu naamini kulikuwepo na mazungumzo ili ndege iachiliwe.Hata ndani ya nyumba yako si kila kitu utamwambia mkeo au watoto wako.Yako mambo lazima utayafanya kuwa ya siri ilimradi hayahatarishi maisha ya familia!kwani wewe mh Lissu kila kitu huwa unamwambia mkeo au watoto wako?
kwamba ndege imeshiliwa kwa sababu tunadaiwa na kampuni fulani kwa sababu ya kukattisha mkataba wao wa ujenzi sioni tatizo hapo.kushindwa mahakami siyo tatitizo na huko nyuma niliwahi kusema kushindwa mahakami kunategemea makosa yenyewe au mwanasheria mwenyewe,kumshutumu rais wetu kwa maamuzi anayotoa siyo uzalendo hata kidogo.juzi mumeenda kenya kumsema rais wetu kuwa ni mbaya kana kwamba huyo Kenyatta atashika bunduki awaingize ikulu!!sasa Raila odinga amepinga matokeo ya urais mahakami.sasa ikitokea matoheo yakabadilishwa sijui chadema na lissu mtajificha wapi.
kuna mazungumzo kati ya ACCASIA na serikali yanayoendelea.sasa kitendo cha chadema kuonyesha kuwa yamkini tulishika makinikia kwa makosa ni usaliti kwa taifa letu kwa sababu hata wazungu wanatuona mazuzu .AFRICA haiwezi kuendelea ikiwa tunapambana sisi kwa sisi.kitendo hiki cha chadema kumtuhumu rais wetu hakina tofauti na vita vya wenyewe kwa wenyewe kama vile vya Burundi,CONGO,RWANDA NA SOMALIA NA SUDANI KUSINI!!!Leo mnapambana na rais ili mwingie madarakani .rais wetu anapotaka kukatisha mikata au kama huko nyuma akiwa waziri alikatisha mikata ni kwasababu ya nia njema tu isipokuwa wako watu wanahujumu mipango ya serikali.hili ni tatizo kwetu Aafrica kwa sababu ni bara la watu weusi mpaka kwenye mioyo yao ,ni bara liliojaa watu wanafiki wanaouza nchi zao kwa wazungu.
huko nyuma chadema ilihubiri nchi nzima kuwa wakiingia madarakani watafuta mikata yote mibovo je mngeifutaje?au ni ile tabia ya kubadili gia anagani kutulisha uongo kama mlivyosema kuwa Lowasa ni fisadi?na kama viongozi wenu wangekuwa wasafi MH MBOWE angeonekana mkwepa kodi mpaka Bilicanas ikafungiwa au vyovyote vile ilivyofanywa?Sumaye angekuwa msafi angenyang'anywa mashamba?
mwisho niseme kuwa yamkini mmenunuliwa siyo bure!!! mtapambana lakini hamtashinda...........
kwamba ndege imeshiliwa kwa sababu tunadaiwa na kampuni fulani kwa sababu ya kukattisha mkataba wao wa ujenzi sioni tatizo hapo.kushindwa mahakami siyo tatitizo na huko nyuma niliwahi kusema kushindwa mahakami kunategemea makosa yenyewe au mwanasheria mwenyewe,kumshutumu rais wetu kwa maamuzi anayotoa siyo uzalendo hata kidogo.juzi mumeenda kenya kumsema rais wetu kuwa ni mbaya kana kwamba huyo Kenyatta atashika bunduki awaingize ikulu!!sasa Raila odinga amepinga matokeo ya urais mahakami.sasa ikitokea matoheo yakabadilishwa sijui chadema na lissu mtajificha wapi.
kuna mazungumzo kati ya ACCASIA na serikali yanayoendelea.sasa kitendo cha chadema kuonyesha kuwa yamkini tulishika makinikia kwa makosa ni usaliti kwa taifa letu kwa sababu hata wazungu wanatuona mazuzu .AFRICA haiwezi kuendelea ikiwa tunapambana sisi kwa sisi.kitendo hiki cha chadema kumtuhumu rais wetu hakina tofauti na vita vya wenyewe kwa wenyewe kama vile vya Burundi,CONGO,RWANDA NA SOMALIA NA SUDANI KUSINI!!!Leo mnapambana na rais ili mwingie madarakani .rais wetu anapotaka kukatisha mikata au kama huko nyuma akiwa waziri alikatisha mikata ni kwasababu ya nia njema tu isipokuwa wako watu wanahujumu mipango ya serikali.hili ni tatizo kwetu Aafrica kwa sababu ni bara la watu weusi mpaka kwenye mioyo yao ,ni bara liliojaa watu wanafiki wanaouza nchi zao kwa wazungu.
huko nyuma chadema ilihubiri nchi nzima kuwa wakiingia madarakani watafuta mikata yote mibovo je mngeifutaje?au ni ile tabia ya kubadili gia anagani kutulisha uongo kama mlivyosema kuwa Lowasa ni fisadi?na kama viongozi wenu wangekuwa wasafi MH MBOWE angeonekana mkwepa kodi mpaka Bilicanas ikafungiwa au vyovyote vile ilivyofanywa?Sumaye angekuwa msafi angenyang'anywa mashamba?
mwisho niseme kuwa yamkini mmenunuliwa siyo bure!!! mtapambana lakini hamtashinda...........
