Siwezi wachukia wanawake wote..!

Siwezi wachukia wanawake wote..!

Shem mi najua hapa JF usipocheza kwa step utaumia kweupee lakini kitu ambacho nilikuwa sijui ni kwamba Smile naye ni gaidi, manake ungejua ninavyomhusudu, basi tu.

Sasa unamshaurije huyu kijana? Manake nyie akina dada wakubwa ndo muwasaidie hawa wadogo zenu wasiendelee kuumizwa!

Bila shaka best angu gfsonwin anaweza kuwa na neno la busara kwa kijana huyu. Nasikia wadau wakimuita mwalimu bila shaka atamuelimisha kama si kumfundisha!

Huyu ni kumwamia akae asubiri kutolewa kafara na wanawake wa JF maana kajipiga kitanzi mwenyewe hatuwezi kufuta kitu hapa picha kaweka simu ipo asubiri majibu yake
 
Mweeeee......mlolongo woooooooooote huo ni dem tu unatafuta......? Unaongea na kulalamika sana dogo.........relax.....tena uache haya mambo ya nilikuwa nae akanitenda blah blah.....vinginevyo utamegewa kila siku.....halafu jifunze matumizi ya L na R.......sawa eeeeh....

mpe bonas ap[ungunze machungu Preta
 
Ni kweli lakini pia hajasema kama anataka used. Wadau tu ndio wameanza kutoa ushauri kwamba ajielekeze huko kwenye used.
Lakini kwakuwa inaonyesha amekuwa akitongozwa na waliokwisha tumika basi nadhani anahitaji brand new ili akamfundishe na kumshape yeye mwenyewe!


Hiyo brand new labda ya digitali lakini ya analog hakuna
 
Hiyo brand new labda ya digitali lakini ya analog hakuna

Hahaha eti hakuna brand new kidigitali eenh! Inabidi ajifunze kutongoza mwenyewe. Hii midude yote iliyomtosa yenyewe ndo ilimtongoza, huoni hapo kunaweza kuwa na mushkeli shem?
 
mpe bonas ap[ungunze machungu Preta

ntamaholo ushauri wako haufai hata kido na unalenga kumuongezea maumivu kijana wa watu Preta ni mke wa mtu usithubutu kukutwa na mwenyewe unamshauri mkewe atoe bonus!

Halafu ukiangalia kwa makini hizo bonus ndo zimemponza kijana inabidi achakalike mwenyewe bonus truck ndio zimemfikisha hapo alipo.
 
Last edited by a moderator:
Unajiliza mno mdogo wangu...kuachwa na kuachika kwenye mapenzi ni kawaida tu..Mbona hata ndoa zinavunjika bwana...sembuse hayo mapenzi yenu ya kishuleshule....Mtoto wa kiume acha kulilia mapenzi..tafuta monnie, mapenzi yatakuja na ukiwa nazo hawatakutenda.....
 
Poyeee dogo,next tym ucsubir wakuache anza wew kuwapga chn ukiona tu dalili hyo itakusaidia
 
Jifunze kutofautisha L na R, nadhani ulikuwa unawabore hao warembo wakati ukiongea nao
 
hivi vyuo siku hizi vinafundisha nini?? Maana akili nyingi zina tope tu
 
Mi nakupongeza kwa ujasiri wa kuweka taswira yako humu.
 
dogo nakuomba kwanza tulia kwani unaonekana umeanza mapenzi ukiwa mdogo sana miaka 20 siyo miaka ya kusema unajua mambo mengi kuhusu mapenzi pia kumbuka kuwa wadada wengi hawaminiki kwa sasa wewe cha kufanya tulia utampata demua atakayeendana na wewe cha msingi komaa na maisha ukae fresh kiuchumi watakufuata tu jambo lingine ni kuwa achana kabisa na kuipa hili suala la mapenzi uzito utabaki kuumizwa kila siku.
 
jifunze namna ya kujihandle mwenyewe kwanza kwenye mahusiano dogo ,,,, ukishaweza kujibeba jifunze namna ya kumhandle mwanamke uliyenaye kwenye mahusiano....... mambo ya tamthilia za kiphilipino au kina Alehandro achana nayo mdogo wangu.
 
Unajiliza mno mdogo wangu...kuachwa na kuachika kwenye mapenzi ni kawaida tu..Mbona hata ndoa zinavunjika bwana...sembuse hayo mapenzi yenu ya kishuleshule....Mtoto wa kiume acha kulilia mapenzi..tafuta monnie, mapenzi yatakuja na ukiwa nazo hawatakutenda.....

nishaztafuta na ninaendelea kuzikusanya..lilibak hilo tu la magusiano
 
Mweeeee......mlolongo woooooooooote huo ni dem tu unatafuta......? Unaongea na kulalamika sana dogo.........relax.....tena uache haya mambo ya nilikuwa nae akanitenda blah blah.....vinginevyo utamegewa kila siku.....halafu jifunze matumizi ya L na R.......sawa eeeeh....

:lol::lol::lol:
 
dah!! dogo 24 unajiliza acha hizo bhana we nawe tafuta mnyonge umegee bhana
 
Back
Top Bottom