Siwezi wachukia wanawake wote..!

Siwezi wachukia wanawake wote..!

pole kaka, huenda ukapata used(mwenye watoto) .huenda akakufaa kwa sabab anajua magumu ya maisha. Hawa wasio na watoto ni mapepe , huenda wakadhan unawapunja kwa sabab ushapitia weng , kwa iyo, used wanafaa zaidi.
 
Yupo tu wa kukupenda natamani hili chance niliingilie mimi.Kwani dhehebu gani?
 
mmmmh una maconfidence ww hadi unatupia picha hadharani hii inathibitisha kweli love life imekupigisha gwaride.
 
yaani dogo umefikiria saana ukaamua kuweka picha kabisa jf? Unadhani kina smile watakuhurumia kwa kuwa umetendwa mara tatu wakati wao ni zaidi ya mara ishirini?

cjaona ubaya wa kuweka pic yangu coz mwisho wa siku tutaonana tu na huyo atakaepatkana
 
pole kaka, huenda ukapata used(mwenye watoto) .huenda akakufaa kwa sabab anajua magumu ya maisha. Hawa wasio na watoto ni mapepe , huenda wakadhan unawapunja kwa sabab ushapitia weng , kwa iyo, used wanafaa zaidi.

anhaa kumbe
 
urongo, tuseme yeye ni mtoto wa jiji hajui kuhandle mwanamke. Na vile vile anakutana na watoto wa jiji wenzie, ndio hapo sasa. Na hapa JF amekuja kujitoa sadaka.

soma post yake vizuri na kisha usome commenta yangu vizuri utaelewa kwa nini nimesema hayo. msipende kukurupuka kutoa comments tu. sijasema hajiwezi ktk 6X6. ukisoma comments zake jamaa ni mgumu wa kumtamkia demu kuhusu mapenzi yaani hadi anaanzwa yeye! wewe hujasoma post yake hadi demu mmoja akamtolea uvivu na kumpa live? uwe unasoma na kuelewa wewe!
 
Story ndeefu kumbe unataka mwanamke na simu umeweka na picha juu?? Kijana JF utalizwa zaidi ya hao wa chuo tulia utapata wa kwako
 
pole kaka, huenda ukapata used(mwenye watoto) .huenda akakufaa kwa sabab anajua magumu ya maisha. Hawa wasio na watoto ni mapepe , huenda wakadhan unawapunja kwa sabab ushapitia weng , kwa iyo, used wanafaa zaidi.


Ha ha ha eti used kuna brand new kweli siku hizi??
 
Story ndeefu kumbe unataka mwanamke na simu umeweka na picha juu?? Kijana JF utalizwa zaidi ya hao wa chuo tulia utapata wa kwako

Habari yako shemeji. Nimekumisi ujue!

Huyu kijana amevurugwa na maumivu ya kutendwa/kuachwa ma mabebs. Wanawake wote watatu anaowasimulia wao ndio wamempiga kibuti kwahiyo usimlaumu ni muhimu kumuelewa na kumsaidia kwakuwa hapa JF ndi hatari anaweza kuingizwa mjini zaidi ya huko alikotoka!

Nimesoma mahali hapa hapa JF kwamba kuna watu design ya akina Marry Hunbig sasa hao wakimpata si atapigika kisawasawa!
 
Last edited by a moderator:
Habari yako shemeji. Nimekumisi ujue!

Huyu kijana amevurugwa na maumivu ya kutendwa/kuachwa ma mabebs. Wanawake wote watatu anaowasimulia wao ndio wamempiga kibuti kwahiyo usimlaumu ni muhimu kumuelewa na kumsaidia kwakuwa hapa JF ndi hatari anaweza kuingizwa mjini zaidi ya huko alikotoka!

Nimesoma mahali hapa hapa JF kwamba kuna watu design ya akina Marry Hunbig sasa hao wakimpata si atapigika kisawasawa!


Hapa ndo nakwambia kajitoa kafara live bila chenga akutane na wakina Smile watambakisha na nini?
 
Last edited by a moderator:
Dogo janja banaa una mambo weye, nakushauri endelea kumshirikisha mungu utampata unayemtaka, ova.
 
Hapa ndo nakwambia kajitoa kafara live bila chenga akutane na wakina Smile watambakisha na nini?

Shem mi najua hapa JF usipocheza kwa step utaumia kweupee lakini kitu ambacho nilikuwa sijui ni kwamba Smile naye ni gaidi, manake ungejua ninavyomhusudu, basi tu.

Sasa unamshaurije huyu kijana? Manake nyie akina dada wakubwa ndo muwasaidie hawa wadogo zenu wasiendelee kuumizwa!

Bila shaka best angu gfsonwin anaweza kuwa na neno la busara kwa kijana huyu. Nasikia wadau wakimuita mwalimu bila shaka atamuelimisha kama si kumfundisha!
 
Last edited by a moderator:
Ha ha shem nimekumisije wewe aisee...jamaa lakini hajasema anataka brand new ujue??

Ni kweli lakini pia hajasema kama anataka used. Wadau tu ndio wameanza kutoa ushauri kwamba ajielekeze huko kwenye used.
Lakini kwakuwa inaonyesha amekuwa akitongozwa na waliokwisha tumika basi nadhani anahitaji brand new ili akamfundishe na kumshape yeye mwenyewe!
 
Back
Top Bottom