TONY MTAKAYOTE
Senior Member
- Jan 24, 2013
- 150
- 69
pole kaka, huenda ukapata used(mwenye watoto) .huenda akakufaa kwa sabab anajua magumu ya maisha. Hawa wasio na watoto ni mapepe , huenda wakadhan unawapunja kwa sabab ushapitia weng , kwa iyo, used wanafaa zaidi.