MESTOD
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 4,798
- 2,008
siwezi kumtafutia ajitafutie yyeye mwenyewe kwani namfahamu asije mtoto wa watu akanijia juu mm bure kwa kumbebesha kwake aka atafute yeye mwenyewe kwani nilipokuwa naye pale chuoni nilimuona mwendeno wake ulivyokuwa mbovu kaa! MESTOD
ladyfurahia unamfahamu huyu jamaa. The guy is serious na anamaanisha.
Last edited by a moderator: