heaven on desert
JF-Expert Member
- Jan 25, 2013
- 1,025
- 393
- Thread starter
- #61
dah!! dogo 24 unajiliza acha hizo bhana we nawe tafuta mnyonge umegee bhana
cna hiyo tabia
dah!! dogo 24 unajiliza acha hizo bhana we nawe tafuta mnyonge umegee bhana
Hahaha eti hakuna brand new kidigitali eenh! Inabidi ajifunze kutongoza mwenyewe. Hii midude yote iliyomtosa yenyewe ndo ilimtongoza, huoni hapo kunaweza kuwa na mushkeli shem?
Mweeeee......mlolongo woooooooooote huo ni dem tu unatafuta......? Unaongea na kulalamika sana dogo.........relax.....tena uache haya mambo ya nilikuwa nae akanitenda blah blah.....vinginevyo utamegewa kila siku.....halafu jifunze matumizi ya L na R.......sawa eeeeh....
Mweeeee......mlolongo woooooooooote huo ni dem tu unatafuta......? Unaongea na kulalamika sana dogo.........relax.....tena uache haya mambo ya nilikuwa nae akanitenda blah blah.....vinginevyo utamegewa kila siku.....halafu jifunze matumizi ya L na R.......sawa eeeeh....
Aiseee pole sana kwa mikasa hiyo iliyokukuta,hata hivyo usijali muombe Mungu utakuja kumpata wako wa maisha,ila sasa inabidi na we ubadilike kuwa makini kuchagua wanawake wa kuolewa na sio wa kuspend,kuwa sensitive katika kuwatofautisha,na utafanikiwa.unapaswa kujua kuwa si kila mwanamke yuko tayari kwa ndoa.I heartly wish you the best in achieving your dream.
hawawezi kukuwahi umeona wapi mwanamke akamtongoza mwanaume na jinsi alivyokuwa na aibu najua wako wachache ambao wanawatongoza wanaume lakini nawe ulijirahisisha kwao ndo mana walikupata kiulaini tu . na wewe hukutulia macho yako juujuu tu hukuwaza masomo ambayo wazazi walikupeleka kule uliwaza ngono tu na sijui kama umepita katika masomo yako maana hujaandika, na huo mwandiko sijui kwanini waalimu walikupitisha kila term maana mhm! unaandika utafikiri unaandika utenzi jamani samahani kama uumeuzika hapa nakupa live ili ujirekebishe usiurudie tena heaven on desert
mhm! kweli hii storyina maumivu ndani yake pole kwa yaliyokupata mdogo wangu ila nikulize swali Je uko shule ulikuwenda kutafuta masomo au ulikuwenda kutafuta wanawake? mana stori yako yaonesha kuwa wewe hukusoma ulikuwa una mambo mengine? ila samahani kama utajisikia vibaya. nakushauri washirikishe wazazi jambo lako kwani Mungu ameweka hapa duniani hao ni miungu wako watakusaidia, na vilevile mwombe Mungu atakupa yule anayekufaa wewe ila umri wako bado ni mdogo sana mdogo wangu usikimibilie hayo mambo acha yaje kwa wakati wake acha kuparamia ovyo utakufa kwa kilo2. hata kama wajiona kuwa wewe ni kidume cha mbegu mtanashati utajiondoa mwenyewe wakati Mungu bado hajakuita kwake. acha mambo ya ngono hayo mdogo wangu zingatia maisha kwanza, jitayarishe kabla ya kuingia huko kwani utakaa huko ndani ya ndoa mpaka kifo kitakapokuita sasa kwanini unakimbilia wakati ungali kinda ndugu yangu? Nakushauri fanya lile linalowezekana kufanya la maisha yako ndipo uingie huko unakokukimbilia. acha KUJIDANGANYA NAFSI YAKO MDOGO WANGU KWANI WAKATI WAKO BADO. soma post niliyoitoa ya KUJIDANGANYA, KUDANGANYWA NA KUDANGANYA, ndiyo iyo imekuponza mpaka hao warembo wamekudanganya na kukuacha njia panda usiweze kutoka hapo ulipo umebaki unaloloma tu mdogo wangu, Maandiko yanasema IKIMBIE ZINAA nami nasema mdogo wangu kimbia kama Yusufu alivyokimbia. ukifika wakati utafanya tu.
afadhari wewe umeisoma na kuimaliza!hebu nifanyie summary basi alikuwa analalamika nini!!!story ni ndeefu ila nimeisoma yote.daa jamani makosa ni mengi katika uandikaji.huko shule hukueleweshwa?kuhusu mambo ya reletionship,usiyape kipaombele kiivyo maana kila siku utaumia wewe tu.dunia ya leo,wadada hawaaminiki ingawa na wakaka nao ni hivyo hivyo,tengeneza maisha yako.