Saad30
JF-Expert Member
- May 26, 2020
- 3,128
- 6,121
Habari wakuu Mimi bado ni mgeni katika Chama cha mapinduzi.
Nilianza kuwa mwanachama rasmi mwaka 2010 kwahiyo Nina miaka 15 Hadi Sasa.
Kwa Hali ilivyo Sasa haitakiwi akili ya mhemko hata kidogo maana komredi katupa jiwe na limetupata lakini haya maumivu hayawezi kutufanya tusiendelee na safari japo kuwa ni Kweli maumivu ni mkali hasa ukizingatia amepiga jiwe kichwani.
Tumetoka Mbali wanaCCM na tunakokwenda ni Mbali Zaidi maana tutakufa tutaacha Nchi Na vizazi vyetu.
Chama changu angalieni hili jiwe lisijeharibu utawala kabisa.
#KASSIMMAJALIWA
Nilianza kuwa mwanachama rasmi mwaka 2010 kwahiyo Nina miaka 15 Hadi Sasa.
Kwa Hali ilivyo Sasa haitakiwi akili ya mhemko hata kidogo maana komredi katupa jiwe na limetupata lakini haya maumivu hayawezi kutufanya tusiendelee na safari japo kuwa ni Kweli maumivu ni mkali hasa ukizingatia amepiga jiwe kichwani.
Tumetoka Mbali wanaCCM na tunakokwenda ni Mbali Zaidi maana tutakufa tutaacha Nchi Na vizazi vyetu.
Chama changu angalieni hili jiwe lisijeharibu utawala kabisa.
#KASSIMMAJALIWA